Mzee Ali Hassan Mwinyi atunukiwa zawadi kwa kuutumikia Uislam

Dini zenyewe tumeletewa lakn nashangaa kuna watu wanajifanya wafia dini

Ova
Kuna siku chuoni kuna Mzungu alisema waafrika ni watu wa mapokeo iwe ujinga au vipi hatuwezi kuchuja huwa tunabeba moja kwa moja walikuwepo hadi maprofesa siku iyo ilikua aibu tupu yan.
 

Tanzanian ex-president and Egyptian academic win King Faisal Prize​

RIYADH: Former Tanzanian President Ali Hassan Mwinyi and the Egyptian academic Prof. Hassan Mahmoud Al-Shafei were named on Wednesday as joint winners of the 2022 King Faisal Prize for outstanding services to Islam.


Mwinyi, 96, was the second president of the United Republic of Tanzania from 1985 to 1995, and lives in Dar es Salaam. Al-Shafei is professor of Islamic philosophy at the University of Cairo, and president of the Islamic University in Islamabad.

The two men were among seven winners in four categories announced at a ceremony in Riyadh. The awards are the most prestigious in the Muslim world.

The prize for Arabic language and literature was awarded jointly to Prof. Suzanne Stetkevych, a specialist in classical Arabic poetry at Georgetown University in the US, and Prof. Muhsin Al-Musawi, a literary critic, scholar, and professor of Arabic literature and cultural studies at Columbia University, also in the US.

Prof. David Ruchien Liu, professor of chemistry and chemical biology at Harvard University and MIT, was honored in the medicine category.

The prize for science was awarded jointly to Prof. Martin Hairer, an Austrian-British mathematician and professor of mathematics at Imperial College London, and Prof. Nader Masmoudi, a Tunisian mathematician at the Courant Institute of Mathematical Sciences at New York University.

The King Faisal Prize was established in 1977. Since then, 275 recipients from 43 countries have been honored, of whom 21 have gone on to win a Nobel Prize. This year’s awards will be presented at a ceremony later in the year.
 
Wanamaanisha Ukoloni na Ujamaa wa Nyerere.

Yaani baba wa Taifa anakula za uso kimya kimya.

..Ni tuzo ya Mfalme Faisal wa Saudi Arabia.

..tatizo ni watendaji wa taasisi ya Saudia kutokuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu Tanzania.

..Mzee Mwinyi anaweza kupata donge nono la usd 100 k.
 
..Ni tuzo ya Mfalme Faisal wa Saudi Arabia.

..tatizo ni watendaji wa taasisi ya Saudia kutokuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu Tanzania.

..Mzee Mwinyi anaweza kupata donge nono la usd 100 k.
Ok kwani wenyeji hawakushirikishwa kabisa.

Yaani tuseme imetoka huko uarabuni moja kwa moja hakuna hata mwenyeji mmoja iyeisoma kabla mhusika hajakabidhiwa.
 
Ok kwani wenyeji hawakushirikishwa kabisa.

Yaani tuseme imetoka huko uarabuni moja kwa moja hakuna hata mwenyeji mmoja iyeisoma kabla mhusika hajakabidhiwa.

..washindi wametangazwa lakini sherehe za kuwakabidhi tuzo hazijafanyika.

..nadhani sherehe zitakapofanyika makosa yatarekebishwa.

..BALOZI wa Tz anayetuwakilisha nchini Saudi Arabia anatakiwa asaidie kuondoa upotoshaji uliotokea.
 
Mama faiza tuifufue OIC na mahakama ya kadhi wakati wetu huu.
Mahakama ya kadhi mbona ipo siku nyingi sana, umelala?

Mnapanga yenu lakini Allah ana yake tayari, vitimbi vyote vya OIC, Mzee anatunukiwa zawadii hivi sasa. Unafikiri OIC wakikuletea misaada ni lazima uambiwe hii ya OIC? Wakitoa kwa wa kulia hata wa kushoto hauyaoni. Huo ndio Uislam.


Unafikiri UDOM ilijengwa na nani? Unafikiri mikopo bila riba aliyoitangaza Bi Samia juzi inatoka wapi? Kuna nani asiye Muislam anatoa mikopo bila riba? Hata benki ya vatikano haifanyi hivyo, ni Waislaam pekee.

Usilolijua ni usiku wa kiza.


Unafikiri kitivo cha moyo cha Kikwete pale Muhimbili kilijengwa na hadi leo hii kinafadhiliwa na nani? Hujaona ma daktari wa kutoka Saudi Arabia kila mwaka wanakuja mara moja au mbili kufanya kazi za bure? Unafikiri nani anawalipa wale gharama zao?

Fikiri japo kiduchu. Uislam ni mwema, sana, sana, sana.
 
..Ni tuzo ya Mfalme Faisal wa Saudi Arabia.

..tatizo ni watendaji wa taasisi ya Saudia kutokuwa na ufahamu wa kutosha kuhusu Tanzania.

..Mzee Mwinyi anaweza kupata donge nono la usd 100 k.
Tuliowaelewa wana maanisha nini tumesha waelewa. Hiyo ilitumika ni "locution". Haya katafute maana yake, labda ukishaijua maana ya "locution" nawe utaelewa kilichomaanishwa.
 
..washindi wametangazwa lakini sherehe za kuwakabidhi tuzo hazijafanyika.

..nadhani sherehe zitakapofanyika makosa yatarekebishwa.

..BALOZI wa Tz anayetuwakilisha nchini Saudi Arabia anatakiwa asaidie kuondoa upotoshaji uliotokea.
Hakuna kosa lililofanyika kwenye maandishi.


Huamini tu unachokisoma, tena wametumia tafsida, lakini ni ukwelimtupu. Mwinyi alitutoa kwenye zaidi ya ukoloni. Alitutoa kwenye umasikini wa mwisho duniani. Ni zaidi ya ukoloni. Mkoloni hakutuacha na njaa, lakini yule wa kabla ya Mwinyi alitufikisha kuwa nchi masikini ya mwisho duniani., Njaa tupu. Ukweli usemwe.
 
Mahakama ya kadhi mbona ipo siku nyingi sana, umelala?

Mnapanga yenu lakini Allah ana yake tayari, vitimbi vyote vya OIC, Mzee anatunukiwa zawadii hivi sasa. Unafikiri OIC wakikuletea misaada ni lazima uambiwe hii ya OIC? Wakitoa kwa wa kulia hata wa kushoto hauyaoni. Huo ndio Uislam.


Unafikiri UDOM ilijengwa na nani? Unafikiri mikopo bila riba aliyoitangaza Bi Samia juzi inatoka wapi? Kuna nani asiye Muislam anatoa mikopo bila riba? Hata benki ya vatikano haifanyi hivyo, ni Waislaam pekee.

Usilolijua ni usiku wa kiza.


Unafikiri kitivo cha moyo cha Kikwete pale Muhimbili kilijengwa na hadi leo hii kinafadhiliwa na nani? Hujaona ma daktari wa kutoka Saudi Arabia kila mwaka wanakuja mara moja au mbili kufanya kazi za bure? Unafikiri nani anawalipa wale gharama zao?

Fikiri japo kiduchu. Uislam ni mwema, sana, sana, sana.
Mbona kama unawasemea sasa.
 
Kutunukiwa Tuzo za Imani zilizoletwa na mshenzi muuaji mkoloni hiyo ni USELESS kabisa, humu tushaongelea sana, kuwa izo dini ni takataka tu wala hazina maana kwa mtu mweusi.

Ukwel mchungu, katumika vyema kuujenga na kuupambania ukoloni wa mwarabu(uislamu), ni lazma awe recognized na wahasis wa hiyo imani, the same kwa nyerere ilikuwa apewe , heko ya kuwa mtakatifu wa kiafrika kwa kuwa mkatoric mzuri sana.

FOOLISH mindset, kwanini hao watoa tuzo nasisi tusiwape tuzo za kuwa watambikaji wazuri ktk mapango na kuabudu mzimu ya mababu wa kiafrika?.

Ama kwel mtu mweupe kafaulu kuiteka akili ya mtu mweusi, yaan utumwa haujakwisha mpka leo, kwasisi tuliofanikiwa kukwepa vifungo hivyo tukijaribu kuwaokoa ndugu zetu weusi kutoka ktk mafrika potofu, basi mnaanza kututukana na kutuita majina mabaya kuwa Sis wapagan na waabudu mizim.
Wake up guys, muda wa utumwa ulikwisha
 
Back
Top Bottom