Mwl. Nyerere alitumia hekima kuongopa census ya Mwaka 1967?

Hahahaa, Pasco hapa umeuwa.

Wasukuma/Wanyamwezi kwa kweli itabidi tu tuchukue nchi maana wingi wetu unatisha.

Wanyamwezi tutakuwa na nguvu zaidi kama wamoja kuliko nguvu ya Waislaam.

Acha tu waje na huu U-DEAN wao na watachokoza hadi UKABILA.
Kiingizwe pia na kipengele cha kabila
 
Sisi wasukuma tupo takribani milioni kumi, na sisi tunataka robo ya nafasi zote serikalini, Tanzania ina watu milioni arobaini na sisi tu robo yao. Kabla ninyi waislamu na wakristu hamjagawana nafasi kutokana na uwiano wenu tupeni sisi robo mtoane macho na robo tatu iliyobakia!
 
Na wahaya tunatukaywa sana!kwa kuogopwa kwamba tunaunyanyasaji tunataka kujua tuko wengi kiasi kwa kujilinganisha na wasukuma.na tuna degree,masters na PHD ngapi?Pia kama kanda ya ziwa,nyanda za juu kusini na mikoa ya kaskazini kama ina waislamu tujue(maana ndio tuna watu wengi).Pia tunataka kujua top ten tribes Tanzania.na sisi tupate rais.tumechoka kutawaliwa na vikabila vidogo....hahaha mmeyataka wenyewe..mtajibeba
 
waislamu tushike hapo hapo tusiachie , "HAKUNA SENSA IKIWA HAKUNA KIPENGELE CHA DINI"
 
Na Wazawa Je!? Wanataka mtoke kwenye Nchi yao... Yaani UBAGUZI NI SAWA NA KULA NYAMA MTU
 
Acha porojo hizo Subiri sensa itatoa data za ukweli

CURRENT Data Zinazungumza Christians ndio wanaongoza kuwa wengi kwa sasa Tanzania, nakufuatiwa kwa Waislamu.... basi labda ndugu yangu nao Watoa Takwimu (Researchers) ni waongo but Sizani.
 
Wapo ambao watasema sio dini tuu pia wanataka ijulikane MADHEHEBU watokayo!
 
Mkuu PakaJimmy,

Mleta mada kaeleza vizuri kabisa.Sensa ya mwaka 1967 ilionyesha waKristo ni 68% na waIslam 22% ya idadi ya wananchi wote wa Tanzania.

Nyerere alibaini waKristo wangeweza kutumia wingi wao vibaya dhidi ya ndugu zao waIslam akaamua kukifutilia mbali kipengele cha dini.


Mleta mada hujaeleza vizuri Mwal. Nyerere alifanya nini na takwinu hizo ambazo awali zilionyesha 68% kwa 22%. Je alifanya kuwa 50:50? ili kuweka hali ya hewa sawa?
 
Tukiachana na ZANZIBAR tu haya ya takwimu za uislamu zinakua hadithi, coz watarudi michenzani na mkwajuni kunywa kahawa na halua na kusubiri sensa ya udini ndani ya uislamu. Bliv me utasikia SUNI na mengine ka 7 hivi na watatwangana kama Iraq.
 
Kwa nini tusimalize ubishi huu kwa kuweka kipengele cha dini kwenye sensa? Mnapenda propaganda munaukataa ukweli!
 
Mkuu PakaJimmy,

Mleta mada kaeleza vizuri kabisa.Sensa ya mwaka 1967 ilionyesha waKristo ni 68% na waIslam 22% ya idadi ya wananchi wote wa Tanzania.

Nyerere alibaini waKristo wangeweza kutumia wingi wao vibaya dhidi ya ndugu zao waIslam akaamua kukifutilia mbali kipengele cha dini.

TRUE, .... Naona Alitumia Busara.
 
Vipengele hivi ni muhimu kwa watu wanaopenda utengano, Dini, Kabila, Ukoo. Haiyumkini tutakuwa Somalia 2 very complicated. Hata mimi napenda kujua kabila langu ni la ngapi kwa ukubwa nchini.
 
Serikali inaona tabu ugumu gani kuweka kipengele cha dini?
Nia ya kuhesabu WATU (sensa) ni kupata idadi ya watu ili itumike katika kupanga huduma za jamii Kama mahitaji ya Huduma za afya kwa ufanisi. Huduma hizi hazichagui dini. Taarifa za idadi za waumini anaye zihitaji akazifuate kwenye nyumba za ibada. Lakini kwa wale waafrika weusi kubaguana kwa msingi wa dini zilizoletwa na wakandamizaji Kama sehemu ya tamaduni zao si kujidhalilisha?...hivi babu zetu waliokua hawana hizi dini na waliozikataa kwa kuona hila na ushenzi wa waeneza dini wakifufuka si itakua aibu? Wandugu tuitafakari historia yetu na tudumishe umoja.
 
Mkuu PakaJimmy,

Mleta mada kaeleza vizuri kabisa.Sensa ya mwaka 1967 ilionyesha waKristo ni 68% na waIslam 22% ya idadi ya wananchi wote wa Tanzania.

Nyerere alibaini waKristo wangeweza kutumia wingi wao vibaya dhidi ya ndugu zao waIslam akaamua kukifutilia mbali kipengele cha dini.

Aisee vichwa vya JF kwa udini (niliondoka kidogo) nimerudi bado hamjabadilika na upofu wenu na ukatoliki

Nyerere hana busara hizo sana sana ndio alitumia pesa za umma kunufaisha wakatoliki na wakristo wenzake

Mbaya zaidi aliwadhulumu waislamu na kuwaua wengi.. Mungu amlaani huko aliko..
 
Back
Top Bottom