Inasemakana Census ya Mwanzo ya 1967 ilionyesha kuwa Wakristo wapo 68% na Muslim 22% (Kwa ulinganisho). Ila kwa Busara na hekima Mwalimu Nyerere aliona kutotoa Ukweli halisi kwani aliogopa baadhi ya Wakristo wanaweza kutake Advantage ya kutaka Kudominate (kutaka kudai Changes) ya Nchi kuwa ya Kikristo, Na pia aliogopa Waislamu wasije wakajisikia Inferior na alitaka kudumisha Umoja na Amani.
Lakini bado pia vyanzo vingine kama ''The study of the United States Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor for 2009 inaonyesha 62% of the population of Tanzania is Christian, 35% is Muslim,'' inaonyesha Wakristo bado wako wengi sana Tanzania.
Na Current source nyingine ya ''Per Forum Report, April 2010'' Inaonyesha kuwa Wakristo wako 60% na waislamu wako 36%.
Ingawa pia kuna habari kuwa waislamu baada ya kuona ukweli ni huo, waliamua kuja na mkakati wa kwamba wakioa Christians, wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanawasilimisha, na pia mkakati wa ''Kuzaa sana'' ili kuweza kujiongeza idadi yao.
LAKINI kwa yote, Tanzania ni Nchi ya Amani kwa Upande wa Dini, Kwani nazani Wakristo hawana tatizo, Sijawahi kusikia labda wana demand au kudai Kujitenga au Ubaguzi wa Dini, Natumani Wakristo na Waislamu watazidi kupendana na Kuishi kwa Amani na Udugu wa Umoja,... Kwani IMANI hazileti Chuki au Fujo.
Wish Tanzanians Kuishi Amani na Upendo na Umoja bila kujali Tofauti za Dini, Kwani Ndio Kuhubiri Imani hapo na Dini nzuri ni UPENDO na AMANI.
Lakini bado pia vyanzo vingine kama ''The study of the United States Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor for 2009 inaonyesha 62% of the population of Tanzania is Christian, 35% is Muslim,'' inaonyesha Wakristo bado wako wengi sana Tanzania.
Na Current source nyingine ya ''Per Forum Report, April 2010'' Inaonyesha kuwa Wakristo wako 60% na waislamu wako 36%.
Ingawa pia kuna habari kuwa waislamu baada ya kuona ukweli ni huo, waliamua kuja na mkakati wa kwamba wakioa Christians, wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanawasilimisha, na pia mkakati wa ''Kuzaa sana'' ili kuweza kujiongeza idadi yao.
LAKINI kwa yote, Tanzania ni Nchi ya Amani kwa Upande wa Dini, Kwani nazani Wakristo hawana tatizo, Sijawahi kusikia labda wana demand au kudai Kujitenga au Ubaguzi wa Dini, Natumani Wakristo na Waislamu watazidi kupendana na Kuishi kwa Amani na Udugu wa Umoja,... Kwani IMANI hazileti Chuki au Fujo.
Wish Tanzanians Kuishi Amani na Upendo na Umoja bila kujali Tofauti za Dini, Kwani Ndio Kuhubiri Imani hapo na Dini nzuri ni UPENDO na AMANI.