muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
upepo bado unavuna toka Northern part of Africa na jana/leo uko Libya kwa mzee Ghadafi ukishamaliza kazi huko basi utaanza kueleke Kusini taratibu ukihakikisha madikteta wote wang'olewa.
Hivyo tusubiri tu kwani huo upepo hautambakiza huyu Kikwete na CCM yake,ni lazima waachie tu madaraka
Mkuu kwa hili hatuhitaji tusubiri, siyo guaranteed kwamba tukisubiri kutakuwa na sababu na momentum kubwa kuliko hili la mabomu juu ya hali mbaya ya maisha na uchumi