MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Matukio ya mabomu ya Gongo la Mboto jana usiku yametugusa wengi tulioko mikoani kutokana na watanzania wenzetu kupoteza maisha kutokana na uzembe wa jeshi.
Mpaka sasa ningetegemea TV zetu ziwe eneo la tukio kuwahabarisha watanzania kinachoendelea ila cha ajabu wanatuanonyesha vipindi vya nje ambavyo hatuhitaji kuviona kwa sasa mpaka. bunge lenyewe limehairishwa kutokana na suala la mabomu lakini bado tu TV zetu haziko flexible kubadili vipindi walivyopanga. Hivi TV ziko kwa ajili yao au watanzania.
Leo tungekuwa na Aljazeera yetu tungekuwa tunaona matukio ya Gongo la Mboto live. Ninaomba TBC1 watutendee haki tulioko mikoani kujua kinachoendelea badala ya kusubiri saa mbili usiku watusomee taarifa habari.
Jifunzeni kutoka TV za nje au mnafikiri habari ni zile tu mlizo rekodi? tunahitaji kujua sasa kinachoendelea kwani vipindi vyenu hivi vya kilimo cha marekani na mambo mengine ya ovyo ni upuuzi mtupu wakati hatujui hatma ya ndugu zetu DSM
Mpaka sasa ningetegemea TV zetu ziwe eneo la tukio kuwahabarisha watanzania kinachoendelea ila cha ajabu wanatuanonyesha vipindi vya nje ambavyo hatuhitaji kuviona kwa sasa mpaka. bunge lenyewe limehairishwa kutokana na suala la mabomu lakini bado tu TV zetu haziko flexible kubadili vipindi walivyopanga. Hivi TV ziko kwa ajili yao au watanzania.
Leo tungekuwa na Aljazeera yetu tungekuwa tunaona matukio ya Gongo la Mboto live. Ninaomba TBC1 watutendee haki tulioko mikoani kujua kinachoendelea badala ya kusubiri saa mbili usiku watusomee taarifa habari.
Jifunzeni kutoka TV za nje au mnafikiri habari ni zile tu mlizo rekodi? tunahitaji kujua sasa kinachoendelea kwani vipindi vyenu hivi vya kilimo cha marekani na mambo mengine ya ovyo ni upuuzi mtupu wakati hatujui hatma ya ndugu zetu DSM