geophysics
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 904
- 166
Daah kama vipi si tufanye kwenda saka mechi tu na nchi za jirani...mbona tunakaa na kufanyana vibaya wenyewe kwa uzembe wetu?
Hiyo usiiombee ndugu yangu...madhara yake ni makubwa mno...tuache sisi tunaoendelea kuuguza vidonda ya vita ya Uganda tuuguze... Please never ever think of it anymore