Mwitikio wa Wananchi juu ya Mlipuko wa Mabomu Gongo la Mboto

What we do…No one can decide for us. It's up to us. And who we are is what we choose. These times when TANZANIA falls apart makes us who we are……..and we have to decide what to do and what to choose……
 
Nakumbuka walishauriwa kuhama makazi, so waende mbali na makambi. Ila mimi sioni umuhimu wa kuwa na hayo madubwasha, si hatuna vita bwana..
 
Ndugu wana JF nimepata nafasi ya kwenda physically pale blood bank ya Muhimbili, jamani ni kweupe kabisa!!!! Hamna damu hata tone, bado majuruhi ni wengi na wana hitaji damu kwa wingi. Kwa wale ambao tumeguswa naomba twende kuchangia damu kwani ni janga ambalo limemkuta yeye leo lakini kesho ni wewe. Hamna hata damu ya dharura kwa ajili ya wa mama wanaojifungua, chonde chonde wandugu, kumbuka damu inatoka kwa binadamu tu laiti ingekuwa inatengenezwa!!!!
 
Au liwekwe chujio kujua great thinkers na little thinker ili kuwe na majukwaa tofauti. Mtu unaweza kujitoa muanga upigwe BAN kwa hoja za kipumbavu kama hiyo ya mwiba.
 
Ndugu wana JF nimepata nafasi ya kwenda physically pale blood bank ya Muhimbili, jamani ni kweupe kabisa!!!! Hamna damu hata tone, bado majuruhi ni wengi na wana hitaji damu kwa wingi. Kwa wale ambao tumeguswa naomba twende kuchangia damu kwani ni janga ambalo limemkuta yeye leo lakini kesho ni wewe. Hamna hata damu ya dharura kwa ajili ya wa mama wanaojifungua, chonde chonde wandugu, kumbuka damu inatoka kwa binadamu tu laiti ingekuwa inatengenezwa!!!!
Mliko Dar mjitokeze jamani, Muwasaidie ndugu zetu...Mungu awape ujasiri katika maamzi haya....
 
Jamani pale UBUNGO kuna Mtambo wa GAS pamoja na Mitambo ya UMEME sasa pakilipuka itazidi hata ya GOMZ
 
This is the time, the only time!

Umeme,
Bei ya Bidhaa juu,
Mfumuko wa bei,
Kushuka thamani ya shilingi,
Umaskini wa kipato,
Nauli juu,
Bei ya umeme juu,
Bei ya mafuta juu,
Huduma mbovu za afya,
Kushuka kiwango cha elimu
Barabara mbovu,
Foleni miji mikuu,
Bunge lisilo na meno,
Ufisadi uliokithiri,
Wizi wa pesa za umma
Matumizi ya kifahari wakati wananchi wanataabika
.......................
......................
MABOMU YA GONGO LA MBOTO
Watu wamepotezana
Watu wamekufa
Watu wameumia
Watu wamepoteza makazi yao
Watu hawajala hadi sasa hivi
Waathirika wa Mbagala walitapeliwa na kudhulumiwa
......................................
......................................
SERIKALI ISIYOWAJIBIKA KWA RAIA KABISA
MAISHA MAGUMU KILA UCHAO

Nguvu ya umma sasa au we are doomed forever!!!!!!
 
Wa kuanzisha ni sisi wenyewe! Inafaa kuanza sasa kuwawajibisha. Tusisubiri hata kidogo huu ndiyo mda wenyewe.
 
I am not sure but Tanzania is not an island on its own! whatever is happening in other territories can also happen here. Lets pary for the best for our country and livelihood!
 
Jamani toeni muongozo tukutane wapi na kwa style gani. This is too much now, namtafuta mtoto wa brother toka jana hadi sasa sijamuona, watu wengi wamepotea just imagine ninakokaa ni kama Kilometer 5 lakini watu wengi haijulikani wakowapi.
 
upepo bado unavuna toka Northern part of Africa na jana/leo uko Libya kwa mzee Ghadafi ukishamaliza kazi huko basi utaanza kueleke Kusini taratibu ukihakikisha madikteta wote wang'olewa.
Hivyo tusubiri tu kwani huo upepo hautambakiza huyu Kikwete na CCM yake,ni lazima waachie tu madaraka
 
Jamani toeni muongozo tukutane wapi na kwa style gani. This is too much now, namtafuta mtoto wa brother toka jana hadi sasa sijamuona, watu wengi wamepotea just imagine ninakokaa ni kama Kilometer 5 lakini watu wengi haijulikani wakowapi.

Hapo ndipo nalia na Chadema tu. Nini wajibu wa chama kikuu cha upinzani? Kula kuku na kutoa matamko?
 
Napenda kutoa pole kwa wahanga wote kuanzia kule Mbagala hadi jana tuliposhuhudia pale Gogo la Mboto wananchi wa Tanzania kupoteza maisha na majeruhi ni wengi mno na mpaka sasa hivi hatujui ni wangapi watapata ahueni lakini yote haya yakijiri hatujui pia hatima ya wale waliopoteza mali zao japokua Mungu amweanusuru na janga hili kubwa kutokea nchini mwetu. Je serikali yetu itawafidiaje wale waliopoteza maisha pamoja na mali zao na kwa wale waliosalimika au kupata vilema vya maisha? kwakua mpaka sasa hivi tokea mwaka jana wale wahanga wa mabomu kule Mbagala bado serikali kuwalipa fidia ni mbinde! je na sasa kwayaliyotokea Gogo la Mboto? nawasikitikia sana kwa wao pia kulipwa fidia na serikali hii ya CCM na kwa jinsi inchi ilivyo na misukosuko ya umeme/mfumuko wa kupanda kwa bidhaa na bila kusahau migomo ya wanafunzi! Eeh Mungu wa Isaka na Yakobo isaidie Tanzania:sad:
 
Hapana, mimi sishauri, wewe ni mwanasiasa. Familia yako na wewe mtakuwa salama. Tutakao kufa ni sisi. Nguvu ya uma aifai.

Ushidwe!
 
Jamani toeni muongozo tukutane wapi na kwa style gani. This is too much now, namtafuta mtoto wa brother toka jana hadi sasa sijamuona, watu wengi wamepotea just imagine ninakokaa ni kama Kilometer 5 lakini watu wengi haijulikani wakowapi.


tukutane mahala popote kwa style ya kujenga urafiki na wanajeshi.

kama misiri
 
Back
Top Bottom