Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
Pole sana haujui unaloongea. Unadhani Tanzania ni mali ya Kikwete kumbe nchi ya Tanzania ni ya Watanzania. Madaraka yote katika nchi yanatoka kwa wanachi. Kikwete amepewa dhamana na wananchi na anatakiwa kuongoza kadri ya matakwa ya wananchi. Kwa kuwa ametangaza vita dhidi ya wananchi-wafanyakazi anadharau chanzo cha madaraka yake na wananchi tupo tayari kupigana vita hiyo aliyoanzisha ili kurejesha madaraka kwetu wananchi. Kikwete sasa ni rais wa wanyonyaji wafanyabiashara na wanyonyaji wanasiasa.
wewe peke yako ndo unasema hivyo, wenzio walio wengi bado watasukuma gari lake wakati wa kampeni. we utaona.