Uongo ni asili yake,jina analotumia si lake,mtu anaeiba hata jina ni kuogopwa,leta huo mkanda kaka tuuone. Watanzania wa leo si kama wa jana. Kwa kumtazama tu Mwigulu anaonekana ana mtindio wa ubongo,tumsamehe bure anahitaji maombi.
Jamaa ni bonge la zuzu,nasadiki kweli sasa jina sio lake. "Tajiri atalindwa na jirani yake mwenye shibe" by Mwalimu Nyerere.