Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Pole FL1, hope unaendelea vyema na jaribu lako umelishinda.
Ubarikiwe.
Ubarikiwe.
Mbona humu JF kuna burudani ya kutosha! Mwenzio nikiona siku haiendi vema, natafuta sredi inayochangiwa na watu waliopinda. Baada ya muda stress zoooote kwao. Pole mwaya, utarudi normal.
Nimewaza mambo milioni kidogo bila majibu ........
Nimepanda kitandani sijapata usingizi hata kidogo.....
Ndani ya masaa nimewaza mazuri yote na mabaya zaidi nimechoka kiakili...
I wish nilie kwa sauti...
I wish ....
OMG nahitaji msaada ....nachanganyikiwa nashindwa kusema kwa nn nina hasira ..niombeeni..
FL, saa hizi ni saa nane nadhani uko poa now, au bado una hasira.....
hehehe, hivi saa nane hautakiwi kuwa na hasira?
ram bana!