Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,526
Nimewaza mambo milioni kidogo bila majibu ........
Nimepanda kitandani sijapata usingizi hata kidogo.....
Ndani ya masaa nimewaza mazuri yote na mabaya zaidi nimechoka kiakili...
I wish nilie kwa sauti...
I wish ....
OMG nahitaji msaada ....nachanganyikiwa nashindwa kusema kwa nn nina hasira ..niombeeni..
Unahitaji msaada wa aina gani na kutoka kwa nani (anybody?) na juu ya nini hasa?
Funguka usaidiwe.