William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #141
Mbona hauweki picha za nyerere, au kwa sababu yeye alifrustrate issues za mzee???
Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?
- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?
- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.
Wacha we! sasa hii huoni itakuwa ni muendelezo wa kaulimbiu ya akina Mramba kwamba 'hata wananchi ikibidi wale majani ili ndege ya rais inunuliwe'? nchi haipo vitani hii bana, gari yoyote yenye matairi manne inamtosha Mbowe and co. Huo ndio ukweli.Ama kweli busara haiuzwi dukani.....huyu jamaa sijui haelewi maana na thamani ya kuwa 'kiongozi'?......hii ni MB 4-MATIC YA Pope
you are right kaka. maswali ya msingi yapewe majibu ya msingi, sio
hata baba mwanaasha huwa anajibu kihuni kwahiyo wa kulaumiwa ni yeye kwasababu katuambukiza na ss raia, si unaona hata maswali ya msingi yanavyojibiwa kihuni mjengoni????!????
you are right kaka. maswali ya msingi yapewe majibu ya msingi, sio blah blah.
Heshima yako kaka Billy.
Nakupongeza kwa ujasiri wako wa kuthubutu kuandika juu ya chama chenye wapenzi wengi sana nchini. Una uthubutu.......
Ngoja nikuonyeshe ulitakiwa kufanya nini kabla hujaandika. Itakusaidia sana siku za usoni. Unaposema....
- Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?
- Umeonyesha kuwa upeo wako unahusisha utekelezaji wa sera zenye kasoro na kutumia magari ya kifahari, walinzi, bendera na kubwa zaidi dereva as if magari yalitakiwa yawe co piloted (labda unaangalia sana sinema za sciencefiction)
- Bendera ni identity! Hata wakati ukiwa baharia wa meliza SINOTASHIP, nazo zilikuwa na bendera
- Walinzi ni jambo liko wazi kabisa unless uwe unalindwa na watu wasioonekana kama alivyosema mtabiri Fulani
- Kimoyoni uko Chadema nadhani maana umependa kombati!
- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?
- Itabidi ukae chini usome tofauti kati ya political party na resistance movement. Unachanganya masomo. Tafuta kitabu kinaitwa Waging Nonviolent Struggle: 20th Century Practice and 21st Century Potential cha Gen Sharp. Utajua kwanini siku hizi hakuna mapinduzi kama zamani. Lazima ujue kutofautisha zama, madhumuni ya mapambano na watu walio katika mfumo
- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
USHAURI:
- Kuongoza ni mfano zaidi. Sasa wewe ambaye ulitaka kuongoza halafu unamiss such basic stuff? Haiyumkini kura hazikutosha
.
- Soma sana uongeze maarifa. Kwa sasa, umepwaya sana. Kama itakupendeza .tutakusaidia vitu vya kusoma
- Take time to think kabla hujasema au kuandika. Maandishi huwa hayafutiki. Tutakuja kukuonyesha what you wrote ukiwa popote pale unagombea nafasi yeyote ile. Hili ni la muhimu sana kuzingatia
- Wahenga walisema A silent fool is counted wise
- Tizama wakombozi wa wananchi hawa, wanafanana na wananchi wanaotaka kuwakomboa, ni maoni yangu tu!
William.
Huna hoja... Kajipange tena
[h=1]2001 Toyota Land Cruiser[/h][h=2]2001 Gold Package V8 leather all the extrasResearch 2001 Toyota Land Cruiser[/h] | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
Sell one like this |
|
2001 Toyota Land Cruiser 2001 Gold Package V8 leather all the extrasResearch 2001 Toyota Land Cruiser | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
Sell one like this |
|