Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,800
- 71,222
Lipumba akioa ataacha ujinga
Tangaza nia akuoe ili nawe utulie
Lipumba akioa ataacha ujinga
Jamani msikubali kudanganywa mtu yeyote aliye angalia Hot mix (EATV) na ITV habari atakubaliana nami kuwa lipumba hakubebwa na mtu kwenda kwenye gari bali alikwenda mwenyewe na kama polisi walipanga kumbeba basi hawakufanikiwa maana video zilionesha vyema hili tukio japo ilitoke purukushani kubwa lakini Lipumba hakupigwa virungu wala kubebwa mzobemzombe!
Jamani hebu punguzeni uongo kila mtu ana macho.
CUP ndio kitu gani?
Polisi kamwe hawataweza kuvumilia upuuzi unaofanywa na ukawa kwa makusudi kabisa tutawapiga sana kwa huu ujinga mnaofanya lazima sote tuishi kwa mujibu wa sheria.
Mkuu wameshatiwa mbaroni na sasa wako wanapata kibano STK-UKONGA pale chini ya mwembe alfajiri ili wataje mtandao wao! Wanaendelea kutiwa mbaroni mmoja baada ya mwingine, aisee usiombe hao jamaa wakakutia mikononi utajuta kuzaliwa!
You're of no effect.Mimi kama mwanachama wa act-tanzania
nalaani kitendo cha mwenyekiti wa cuf
ndugu ibrahim lipumba kupigwa na
kudhalilishwa yeye na wafuasi wake,kama
chama cha act-tanzania katika msingi wetu
wa "utu wa mtu utu" wana act hapa
tunasema lazima utu wa mtu uthaminiwe
tena kiongozi huyu ni kiongozi mkubwa sana
katika chama kikubwa cha kisiasa
wamemdhalilisha sana na ninaishauri polisi
iache kutumia nguvu kwa kila jambo mengine
yanahitaji busara.natoa pole kwa prof.
Lipumba na wafuasi wote wa cuf na kwa
pamoja tulaani kitendo hichi cha kuirudisha
demokrasia nyuma
kamwe hatutarudia nyuma katika kuikuza
demokrasia
Aiseeeee kwani hamkushiriki
Very wise wisdomKwanini hao intelijensia intelijensia wasitumie hizo nguvu na gharama kuwasaka hao magaidi popote walipo kupitia watu waliowaambia nia ya magaidi kuwalipua CUF na kuwapa ulinzi CUF? Kwa akili ya kawaida ukisikia mwanao anazengewa na adui, unapaswa kumlinda mwanao na kumsaka adui, kumuangamiza na siyo kumuangamiza mwanao kwa kuwa ameelekea matembezini bila uangalizi wako mzazi huku ukiwa huna mpango wowote wa kumtafuta adui, mbona hatuwaoni polisi wakiwapiga albino mabomu kwa kutembea mtaani wakati wakijua kuna watu wanawatafuta ili wawaue na kutoweka na viungo vyao?!
Polisi wanatimiza wajibu wao. CUF walikuwa wanataka kufanya siasa za kijingaSiku panya road walivyokuwa mtaani polisi walikuwa wapi? Raia wasiyo na silaha wakiandanana tu......polisi watamwagwa kila kona.
hili haliwahusu nyie..Mimi kama mwanachama wa act-tanzania
nalaani kitendo cha mwenyekiti wa cuf
ndugu ibrahim lipumba kupigwa na
kudhalilishwa yeye na wafuasi wake,kama
chama cha act-tanzania katika msingi wetu
wa "utu wa mtu utu" wana act hapa
tunasema lazima utu wa mtu uthaminiwe
tena kiongozi huyu ni kiongozi mkubwa sana
katika chama kikubwa cha kisiasa
wamemdhalilisha sana na ninaishauri polisi
iache kutumia nguvu kwa kila jambo mengine
yanahitaji busara.natoa pole kwa prof.
Lipumba na wafuasi wote wa cuf na kwa
pamoja tulaani kitendo hichi cha kuirudisha
demokrasia nyuma
kamwe hatutarudia nyuma katika kuikuza
demokrasia
Polisi wanatimiza wajibu wao. CUF walikuwa wanataka kufanya siasa za kijinga