Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 79
Wana Jamii
Kuna uvumi kuwa mwenyekiti wa CDM katika manispaa ya Mbeya (Mwambigija)i anashirikiana na mbunge wa viti maalum wa CCM (Bi Mwanjelwa) kwa lengo la kudhoofisha nguvu ya CDM katika jimbo hilo. Inasemekana kwamba lengo lao ni kuhakikisha jimbo hilo linangukia kwa mwanamama huyo mwaka 2015.
Ikumbukwe kuwa manispaa ya Mbeya ni moja ya ngome kuu za CDM hivyo wanachama na wapenzi wa chama hiki tunatakiwa kuwa makini na viongozi wanoweza kurubuniwa kwa maslahi yao ya muda mfupi na wnanmagamba
Kamanda Dr Slaa ametangaza kuanza kwa mchakato wa uchaguzi wa viongozi kuanzia mwakani hivyo wanachama wa chadema wa mbeya na maeneo mengine wanashuliwa kuwa makini sana na viongozi wa aina hiyo ili chama kisije pata viongozi mamluki wenye tamaa ya vipesa wanaoweza kuturudisha katika azma yetu ya kuchukua dola 2015
My Take Chadema Mkoa na makao makuu waufanyie kazi uvumi kwa lengo la kuzuia kuzolotesha nguvu ya chama katika ngome hiyo ya manispaa ya Mbeya
Kuna uvumi kuwa mwenyekiti wa CDM katika manispaa ya Mbeya (Mwambigija)i anashirikiana na mbunge wa viti maalum wa CCM (Bi Mwanjelwa) kwa lengo la kudhoofisha nguvu ya CDM katika jimbo hilo. Inasemekana kwamba lengo lao ni kuhakikisha jimbo hilo linangukia kwa mwanamama huyo mwaka 2015.
Ikumbukwe kuwa manispaa ya Mbeya ni moja ya ngome kuu za CDM hivyo wanachama na wapenzi wa chama hiki tunatakiwa kuwa makini na viongozi wanoweza kurubuniwa kwa maslahi yao ya muda mfupi na wnanmagamba
Kamanda Dr Slaa ametangaza kuanza kwa mchakato wa uchaguzi wa viongozi kuanzia mwakani hivyo wanachama wa chadema wa mbeya na maeneo mengine wanashuliwa kuwa makini sana na viongozi wa aina hiyo ili chama kisije pata viongozi mamluki wenye tamaa ya vipesa wanaoweza kuturudisha katika azma yetu ya kuchukua dola 2015
My Take Chadema Mkoa na makao makuu waufanyie kazi uvumi kwa lengo la kuzuia kuzolotesha nguvu ya chama katika ngome hiyo ya manispaa ya Mbeya