Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
nitakutumia vocha ya buku.
Kama hivyo poa! Nikadhani unataka vya bure! Ok!
Ngoja nijipange kuiandaa kwa kukupimia ya hadithi ya buku.
nitakutumia vocha ya buku.
Ngoja mamito sweetlady nije kivingine.
Utafurah.
Kama hivyo poa! Nikadhani unataka vya bure! Ok!
Ngoja nijipange kuiandaa kwa kukupimia ya hadithi ya buku.
ok sis, basi ukimaliza nistue nije kula make nahc ubao wa kufa mtu. . .
tuendelee, basi fisi akakataa kubadilisha majani kwa nyama na sungura. sungura akakasirika wakaanza kupgana ila fisi akamshinda sungura nguvu. kuanzia cku hyo fisi na sungura ni maadui!
Na wakikutana popote lazima wapigane lol
Na hadithi yetu ikaishia hapo.......sis tujipange afta dina tuje tumsimulie ile ya tembo na simba!
Khaaa! Shemu mie najipinda kukutetea dau liongezwe afu wewe ushalikubali? .....
wacha na mie nipite na MwafrikaHalisi!
Unaelekea wapi MwafrikaHalisi?
Kama hivyo poa! Nikadhani unataka vya bure! Ok!
Ngoja nijipange kuiandaa kwa kukupimia ya hadithi ya buku.
Khaaa! Shemu mie najipinda kukutetea dau liongezwe afu wewe ushalikubali? .....
wacha na mie nipite na MwafrikaHalisi!
WEWE TAFUTA NOVEL BOOKS UWEKE NDANI UKIWA NA MAFRASTRESHEN UNASOMA. KAMA NGUMU KATUPIE GRANT'S AU TIA MARIA AMA HATA UKITUPIAMO KONYAGI KUBWA UTAKUWA BWAX NA UTALALA TU. Bwana mdogo acha stress bana.
bwana mmoja alifiwa na mkewe, wakati wa mazishi babake akawa anamfariji kwani jamaa alionekana anahuzuni sana.
Baba: usihuzunike mwanangu, kuwa mvumilivu, pengine baada ya miezi 6 utapata mwanamke mwingine na maisha yatarudi kama zamani.
Jamaa (tena huku akiwa kataharuki):
miezi 6?
Mi hapa nawaza nitafanyaje usiku wa leo.
Paliondokea watu wawili mtu na mkewe.
Mke alipata mimba,siku ya kujifungua ikafika lakini bahati haikuwa upande wake kwani wote wawili walifia Labour.
Mume alipopewa taarifa kwamba mkewe na mwanae wamekufa,nae akanywa sumu.
Na Hadithi Yangu Imeishia Hapa.
Ujumbe:
Wanaume jitahidini kuoa wake wengi ili kuepuka kukosa vyote.
pole mamito, hlf nilitaka kumwambia nitamtumia vocha ya jero, yani hapo nimeongeza dau.
Ngoja nimwambie kaka aongeze kama 6 hivi.ukifika wakati wangu nitaoa dozen