Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,961
- 32,234
sasa mkitaka wote c itakuwa balaa, labda niwapunguzie kila mtu 250, au mnasemaje?
Kama ndo hvo,mpe haki yake bwan' Jdg!
Maana awali ni awali tu.
sasa mkitaka wote c itakuwa balaa, labda niwapunguzie kila mtu 250, au mnasemaje?
Kama ndo hvo,mpe haki yake bwan' Jdg!
Maana awali ni awali tu.
abee, nipo nilikuwa nasinzia, mana nasoma huku nacheka, mara nacheka huku nasinzia, athante sana kwa hadithi yako, sasa vocha yako niku2miaje?
Kama ndo hvo,mpe haki yake bwan' Jdg!
Maana awali ni awali tu.
Tuma kwa Pm , iwe Vd, Tg , Zain yote poa!
Naomba kuweka sawa isije ikani'cost !
Madame afute kauli "mpe Jg haki yake!"
Mimi "Haki yangu napewa na BeibeNasty , hadi navimbiwa!"
Instead of isome anipe my trophy!
Wewe ulijua haki ipi?
Tz ni Zaidi ya Uijuavyo.
Nitolee uchuro! Kujifanya hujui nilichokilenga!
Kama wajifanya unashinda kwenye jumba la sanaa! Wenzio ndo twalalia humohumo jumbani !
Wewe ulijua haki ipi?
Tz ni Zaidi ya Uijuavyo.
Hizo haki zinatolewa kwa ubaguzi sikubali na mimi naomba haki yangu..
Panda ndege unifate nikupe.
Mbona wanihukumu pasipo kuwa na ushahidi thabiti?
Me bado mtoto,cjui chochote.
Ndo kwanza ni anda the age of ei tini.