Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Paliondokea watu wawili mtu na mkewe.
Mke alipata mimba,siku ya kujifungua ikafika lakini bahati haikuwa upande wake kwani wote wawili walifia Labour.
Mume alipopewa taarifa kwamba mkewe na mwanae wamekufa,nae akanywa sumu.
Na Hadithi Yangu Imeishia Hapa.
Ujumbe:
Wanaume jitahidini kuoa wake wengi ili kuepuka kukosa vyote.
Mh thina la kuthema.