Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,340
Hii ndio Taarifa Mpya iliyotufikia usiku huu, kwamba Maelfu ya Wananchi wanamiminika kwenye ofisi zote chadema za Jiji hilo kwa lengo la kukesha ili kuwahi kujiandikisha, ili washiriki maandamano.
Wananchi wengi wanadhan kwamba i ili kushiriki Maandamano hayo ni lazima ujiandikishe, hivyo wamewahi kwenye ofisi hizo ili kujihakikishia namba za usajili.
Ukweli ni kwamba Maandamano ya Chadema hayana usajili , kila mtu aliyeguswa na ugumu wa maisha anashiriki tu.
Natoa wito kwa viongozi wa chadema Mwanza na kanda ya Victoria kuelimisha wananchi kuhusu jambo hilo.
Wananchi wengi wanadhan kwamba i ili kushiriki Maandamano hayo ni lazima ujiandikishe, hivyo wamewahi kwenye ofisi hizo ili kujihakikishia namba za usajili.
Ukweli ni kwamba Maandamano ya Chadema hayana usajili , kila mtu aliyeguswa na ugumu wa maisha anashiriki tu.
Natoa wito kwa viongozi wa chadema Mwanza na kanda ya Victoria kuelimisha wananchi kuhusu jambo hilo.