Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Sasa ccm wameamua kuvuruga amani kwa makusudi.hutuna jinsi sasa itabidi itabidi kitu kipya kifanyike..
Sure mkuu,2015 ni mbali sana mkuu hatuwezi kuona damu zinaendelea kumwagika tukae kimya tukisubiri 2015!! hapana right time ikija tutaenda ku occupy magogoni!!
Nimepokea kwa masikitiko makubwa haya yaliotokea...ni jambo ambalo linatia chagizo kwenye mbegu mbaya ya kuondoa umoja wa taifa letu.Tusaidiane watanzania wote kulaani jambo hili .....viongozi wetu pia mtusaidie kufata sheria za uchaguzi,kampeni za usiku mbona zimeshazuiwa wao usiku wanapita pitaje majumba ya watu.poleni any way na watu wasijichukulie sheria mikononi tafadhali.
Maneno huumba mkuu cha kufanya tuombe tu Jeshi la Police lifanya kazi yake kiuhalali na liwakamate wahalifu wote waliojihusisha na kitendo hicho cha ukatili na mahakama ifanye kazi yakeSure mkuu,
Mpaka ifike 2015 watakua washakufa wengi sana.
Katika
taarifa ya habari ya saa nne asubuhi TBC fm radio imetangaza habari ya
kujeruhiwa kwa wabunge wawili wa Chadema. Habari kamili zitafuata
baadae...