Sala zangu kwa Mb Kiwia, nasikia uchungu usio kifaniTupo Hospitali ya Bugando hapa. Ndg. Kiwia, mb anatoa maelezo kwa maafisa wa polisi.
Hali ya ndg. Kiwia sio nzuri sana. Anatakiwa kufanyiwa ct scan kuona athari aliyopata (maana kapigwa na shoka na mapanga kichwani). Bahati mbaya hapa Bugando kifaa hicho hakifanyi kazi.
poleni,nawashauli mpelekeni kiwia regencý sio mhìmbilì maana ct scan ya mhimbili ni kanyaboyaHali ya ndg. Kiwia sio nzuri sana. Anatakiwa kufanyiwa ct scan kuona athari aliyopata (maana kapigwa na shoka na mapanga kichwani). Bahati mbaya hapa Bugando kifaa hicho hakifanyi kazi.
pamoja kamanda, tunaomba apatikane kwanza huyo Ahmedi Kilindi halafu watu wengine watakuja kupatikanaSiasa za Tanzania zinazidi kujidhihirisha kuwa hazina tofauti na nchi nyingine za Kiafrika. Chama cha siasa kuwa na makundi ya wahuni na kupiga watu ni hatari na chama hicho kinakosa 'moral' authority ya kutawala.
Hiki kitendo ni cha kulaaniwa na watanzania wote bila kujali itikadi zetu za vyama.Tupo Hospitali ya Bugando hapa. Ndg. Kiwia, mb anatoa maelezo kwa maafisa wa polisi.
Kuna mmoja wa majeruhi ambaye yupo hapa mwanzoni alisema yeye ni mtu wetu na ameumizwa pia. Imegundulika ni mtu wa UVCCM, Ahmed Mkilindi ambaye ndiye alikuwa anaongoza kikosi kilichowavamia kina Kiwia. Amepata jeraha mkononi (friendly fire?). Mwenyekiti wa CCM mkoa yupo hapa kaja kumwona. Nimewaambia Polisi mtu huyu asitolewe hospitali kinyemela bali atoe maelezo polisi kwanza. Huyu ni mtuhumiwa wa kwanza kabisa.
Hali ya ndg. Kiwia sio nzuri sana. Anatakiwa kufanyiwa ct scan kuona athari aliyopata (maana kapigwa na shoka na mapanga kichwani). Bahati mbaya hapa Bugando kifaa hicho hakifanyi kazi.
Nimezungumza na Katibu wa Bunge na ndani ya muda mfupi ndg. Kiwia atasafirishwa kupelekwa Muhimbili kwa uangalizi zaidi.
Ndg. Machemuli anaendelea vizuri alitoka hospitali jana (alipata huduma ya Kwanza Sekou Toure).
Siasa za Tanzania zinazidi kujidhihirisha kuwa hazina tofauti na nchi nyingine za Kiafrika. Chama cha siasa kuwa na makundi ya wahuni na kupiga watu ni hatari na chama hicho kinakosa 'moral' authority ya kutawala.
Tusubiri uchunguzi zaidi wa Polisi. I am so depressed
pamoja kamanda, tunaomba apatikane kwanza huyo Ahmedi Kilindi halafu watu wengine watakuja kupatikana
2015 ni mbali sana mkuu hatuwezi kuona damu zinaendelea kumwagika tukae kimya tukisubiri 2015!! hapana right time ikija tutaenda ku occupy magogoni!!Yaani sasa ccm siasa za kistaarabu wameamua kuzipa kisogo, huku wakina machemba na lusinde wanapotomosha mitusi mbele ya wazazi na watoto wetu waliojitolea kwenda kuwasikiliza katika mikutano yao, huku tena wameunda kikosi cha mauaji kama utawala wa mabutu, sasa ni dhahiri ccm inaelekea kufa jamani ni heri 2015 ifike haraka tumalize kazi tuondokane na balaa hili aghfff
Tupo Hospitali ya Bugando hapa. Ndg. Kiwia, mb anatoa maelezo kwa maafisa wa polisi.