figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Mkurugenzi wa jiji la Mwanza kawafungia nje ya geti wafanyakazi wote waliochelewa kuingia kazini asubuhi ya leo.
Akichelewa yeye anafungiwa na Magu, ambaye ndie mwajiri wakeDu inamaana yeye akichelewa nani atamfungia mlango??? Au ndiyo mambo ya double standard
Mkubwa hachelewi weweDu inamaana yeye akichelewa nani atamfungia mlango??? Au ndiyo mambo ya double standard