Mwanza: Mkurugenzi awafungia nje Wafanyakazi Wachelewaji

Mkurugenzi ana kazi nyingi za kufanya na kusimamia sijui huu muda wa kuanza kumbizana kama watoto kautoa wapi!!
anatafuta kick tu ktk media..
inaonekana bado majukumu hayajakuwa mengi kwakuwa bado mgeni...

Safi sana hawa wafanyakazi wa serikali wamezidi, unakuta mtu unashida unawahi asubuhi muda wa kufungua ofisi yeye anakuja sa 5, angalia hao wote wamechelewa. Ningekuwa mkurugenzi ningewakata na mishahara kabisa.
kumfungia mfanyakazi wa kudumu nje sio tija... labda wangekuwa vibarua!.
mkurugenzi alipaswa kupiga mstari ktk daftari la mahudhurio, na wale walio chini ya mstari wange andikiwa barua ya kujitetea\kujieleza.
 
anatafuta kick tu ktk media..
inaonekana bado majukumu hayajakuwa mengi kwakuwa bado mgeni...


kumfungia mfanyakazi wa kudumu nje sio tija... labda wangekuwa vibarua!.
mkurugenzi alipaswa kupiga mstari ktk daftari la mahudhurio, na wale walio chini ya mstari wange andikiwa barua ya kujitetea\kujieleza.
Yani "mfanyakazi wa kudumu" amechelewa kuingia kazini, kwa maana ameshapoteza muda, afu unataka na mkurugenzi nae aanza kupoteza muda kuwapa barua waandike waeendelee kupoteza muda kijinga. Hapana mkuu watanzania inabidi tubadilike
 
Mkurugenzi wa jiji la Mwanza kawafungia nje ya geti wafanyakazi wote waliochelewa kuingia kazini asubuhi ya leo.
View attachment 370722
Huu siyo ustarabu,taratibu,kanuni na sheria za ajira.........zaidi ya kutafuta kiki za ajabu na sifa zisizo na Tija kwa Taifa.
Nadhani alipaswa kukaa na wahusika na kuwapa sheria na na Kanuni mpya alizo gundua yeye kama yeye maana kuna utaratibu na proceures za kutatua tatizo la uchelewaji kazini....yaani ninasikitika sana Viongozi wetu kuwa na maaamuzi ya mwendo kasi ili mradi tu kumunyesha Bwana mkubwa, haya kwangu ni maagizo.
My Take: Vingozi wetu mfanye kazi kwa maslahi ya Taifa na siyo kuigiza igiza hapa, kwa kufuata tararibu,kanuni,na misingi ya Ajira pasipo kufunja sheria because these are too much now.
 
Du! yaani wote hao wamechelewa kazini?! Acha wafungiwe ili wakumbuke wajibu wao, sio kulilia ajira halafu kutumikia inakuwa tatizo., Na siku mkurugenzi akichelewa nae afungiwe tu hakuna mzaha na kazi.
Kwa kweli nashangaa watu eti wanaobeza. Aliona ni tatizo sugu. Watu kweli ni masugu. Wakitumbuliwa wanaanza kulalamika!
 
Ukiambiwa basi inaondoka 11 alfajiri utawahi ili usiachwe sababu anawahi.
Lakini kuwahi saa 1:30 asubuhi ili uwatimize majukumu yako na wengine unaona kero na wakati kazi uliomba mwenyewe lipi jema wachwe au wakumbushwe wajibu wao
 
Kinachosikitisha na kushangaza ni huo umati waliochelewa. Sometimes CCM wako right kutuonea na kutufanya maskin na lazima iyo ndio tabia yao. Je kwenye mashirika ya wachina wangechelewa?
 
Kwa kweli nashangaa watu eti wanaobeza. Aliona ni tatizo sugu. Watu kweli ni masugu. Wakitumbuliwa wanaanza kulalamika!
watu hawana wema, hapo hao wafanyakazi wanatakiwa wawahi wahudumie wananchi, mwananchi ukienda kupatiwa huduma ukakuta mfanyakazi bado hajaingia ofisini unalalamika, wakichukuliwa hatua ili wakumbuke kuwahi tunalalamika, kumuelewa binadamu lazima uwe na moyo mgumu sana.
 
Mkurugenzi ana kazi nyingi za kufanya na kusimamia sijui huu muda wa kuanza kumbizana kama watoto kautoa wapi!!
Ndio kwanza karipoti huko, lazima awaweke sawa kabla hajazidiwa na majukumu yake.
 
watu hawana wema, hapo hao wafanyakazi wanatakiwa wawahi wahudumie wananchi, mwananchi ukienda kupatiwa huduma ukakuta mfanyakazi bado hajaingia ofisini unalalamika, wakichukuliwa hatua ili wakumbuke kuwahi tunalalamika, kumuelewa binadamu lazima uwe na moyo mgumu sana.
imesaidia nini kwa siku ya jana baada ya kufungiwa au siku ya jana ndo utaratibu wakutoa huduma ulikuwa hovyo kabisa,mkurugenzi kama yeye anahatua nyingi kweli za kuwawajibisha wavivu kama hao bila kuathiri kazi zingine
 
Back
Top Bottom