AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
i love the way you defined me hapo juu lol
if only it was the honest truth lol ukiacha hiyo part ya kuoa 'malaya....
now tukija kwenye answer....what if nikishindwa 'kumdhibiti' ??????
Stop your bragging... Hapo nimechukua sifa zoote za Sweetie na ku apply mfano kwako...lol...
Believe me you kwa mwanaume yeyote mwenye sifa nimetaja hapo juu.... Hakuna "What if akishindwa kumdhibi??"
WHY?? Mara nyiingi mwanaume wa namna hio akipenda... daima hu apply the brain to his heart no matter his juniour inasemaje!! Kama anakupenda he will treat you well mpaka uchanganyikiwe... Lakini mwanamke asijidanganye hata siku moja kua just because anapendwa anaweza leta upuzi wowote to this type of man.... Na mara nyingi jamaa wa namna hii akiachia ngazi... There is NO turning back... wala no LOVING another woman the same way again...