Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
The Boss and Crew
Mi naamini "umalaya" au 'tabia nzuri' ya mtu ni something 'socially constructed'
Kwa hiyo kimsingi kigezo cha kwanza cha kumuoa mtu ni kumpenda. baaas.
Sasa suala la kwamba hayo ni maamuzi ya 'kiume' au la....hilo linatupeleka kwenye debate ya feminism tena na hukawii kuwa accused wa gender discrimination lol
Mapenzi Sio Siasa (Husninyo)
Let love lead the way (kama hiyo ndo itakudefine kuwa mwanaume basi ndo ivo ivo ila mi ningesema uamuzi wa busara...)
Mi naamini "umalaya" au 'tabia nzuri' ya mtu ni something 'socially constructed'
Kwa hiyo kimsingi kigezo cha kwanza cha kumuoa mtu ni kumpenda. baaas.
Sasa suala la kwamba hayo ni maamuzi ya 'kiume' au la....hilo linatupeleka kwenye debate ya feminism tena na hukawii kuwa accused wa gender discrimination lol
Mapenzi Sio Siasa (Husninyo)
Let love lead the way (kama hiyo ndo itakudefine kuwa mwanaume basi ndo ivo ivo ila mi ningesema uamuzi wa busara...)