Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
hakuna jibu hapo
lpo brada chek vzur
hakuna jibu hapo
hahaha, ha, Asante kwa kufichua siri!!, Na je nikija jikoni kukupigisha story tuu, nayo vipi. siguzi mwiko wala kisu.
kwangu mie ni mzigo sababu sijui kupika na pia mie ni mvivu!:wink2:
Nakubaliana na wewe,tunafanana........mi wangu lazima ajue kupika na asiwe busy sana kazini kwakuwa mimi kazi nyingi nikirudi nataka nikute tu mezani...........LOL
Haya kina baba, hamishieni TV jikoni .
Nina uhakika kuwa wazaire watakufaa sana dada yangu....
ya shozniga?labda kwenye filamu!!!
dah wazaire wanafanya kaz zoooote lakin gharama utakayolipia ni bora ungefanya mwenyewe!1
si watu wale
lpo brada chek vzur
Nilioa ili nisaidiwe kupika,kufua,kutandika na kunibrudisha!!
hi Rose! nakubali ni kwali wanawake wanapeda sana kupikiwa for sometimes, mimi nimelisoma hilim kutoka kwa demu wangu...yaan siku nikipika atapiga story kwa furaha ile kwa sana.Nikimzozoa kesho kutwa yake napika atanieleza mambo kibao namna nilivyomtatiza hence tunasonga bila vinyongo.namba 6
akipika inanipa raha na nanifanya nimuheshimu zaidi
labda ye anapika ivi mi nafanya usafi chumbani nikimaliza naandaa chakula mezani then kula then seblen kidg kishuke kdg then aooooooooooooooo chumban mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!1
inaleta hamasa na inanifanya nimpende zaidi