Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,050
- 605
Hata zamani ilikuwepo sema siku hizi wako aggresive zaidi.
Kanuni ni zile zile kama anazotumia mwanamke kupima mtu kabla ya kumkubali. Ukitia tamaa mbele utaingia mkenge.
Kama ni malaya wa kiume tumia kanuni za malaya wa kike, kama unajiheshimu angalia mwanamke anayejiheshimu anafanyaje akitongozwa.
Mi nilishatongozwa kwenye pombe nikatoroka, kesho yake nikaombwa msamaha (ile U know i didnt mean it, blah blah). Yakaisha
Kanuni ni zile zile kama anazotumia mwanamke kupima mtu kabla ya kumkubali. Ukitia tamaa mbele utaingia mkenge.
Kama ni malaya wa kiume tumia kanuni za malaya wa kike, kama unajiheshimu angalia mwanamke anayejiheshimu anafanyaje akitongozwa.
Mi nilishatongozwa kwenye pombe nikatoroka, kesho yake nikaombwa msamaha (ile U know i didnt mean it, blah blah). Yakaisha