Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Inategemea anauzikaje bana kama vp nampotezea tu polepole i mean kistaarabu ,lakini vivyo hivyo wenge la kutongozwa inategemea ushakutana mara ngapi na hali hii na ujasiri ulio nao wa kukisimamia unacho kiamini bila kujali kua umeomba au umeombwa mahusiano binafsi mi mara kibao tu huwa wananizingua na mbaya zaidi huwa ving'ang'anizi mbaya na ukimtosaaaa!!!atakuletea hata mkono wa Albino getho.
Ha ha haaa, Criss bwana, hapo kwenye bluu ni noma. Kwahivyo ni bora kuwakubalia eeh!