Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,814
- 52,986
Yohane 9 : 2 Wanafunzi wake wakamwuliza wakisema, Rabi, ni yupi aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata azaliwe kipofu?
3 Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi, wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake.
Msaidie kupata mazoezi maalum, hiyo.pesa utaitupa tu bure kwa matapeli, Hiyo ni mboneka yake
3 Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi, wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake.
Msaidie kupata mazoezi maalum, hiyo.pesa utaitupa tu bure kwa matapeli, Hiyo ni mboneka yake