Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

Tumeanza kuhangaikia zamani mtoto anapokuwa unaweza kudhan pengine kachelewa tu ataongea lkn muda unazidi kwenda tu unashtuka

Katika Natural health knowledge, kuna kitu kinaitwa sensitivity nerves, ubongo utoe tafsiri na hisia zifanye Kazi ili mlipuko utokee , so inshu hapa ni mfumo wa ubongo ,
Je kuna dalili zozote za kiafya anaonesha , Kama kutokwa na mate bila kujua ,

Tutahitaji kushughulikia mfumo wa ubongo ,mishipa yake pamoja na nishati zake

Nishati za ubongo hutegemea mfumo wa Figo & Kibofu , Unapotibu mfumo wa ubongo lazima uweke sawa nishati za mfumo wa Figo ,
Kwa hiyo inshu inaweza kuwa ni blockage hivyo Circulation haiko sawa , kusababisha ubongo kushindwa fanya kazi sawa sawa !

Hebu nipigie tufanye Questionnaire diagnosis, then tutajua tumpe dawa gani

Kila tatizo la kiafya lina solution kwenye Nature !
IMG_2276.jpg


+255757577995
 
Habari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati Anakuwa anaziba masikio
4. Anatamka sauti zinazojirudiarudia lkn hazieleweki
5. Anapenda kuning'iniza vitu mfano chaja za simu,waya,funguo,ama kitu chochote akishika yeye n kuning'iniza anaweza kutoka chumban na nguo ya ndani ya mamake akaja nayo sebuleni ananing'iniza ( anapenda sana hicho kitu)
6. Mikono yake kama imelegea hata kuanza kula mwenyewe alichelewa na saiv anakula mwenyewe Ila anasambaza chakula ukimpa wali maharage atakula 10% asilimia 90 utakuwa kasambaza chini
7. Anapigapiga kidevu chake
8. Anapenda vitu vyake tu ,
9. Hapendi kucheza na watoto wenzake anajitenga nao hata wakiwa 200 yeye atakaa pekeake anafanya vitu vyake
10. Ukimtuma kitu hawez kuleta maana hakuna kitu anaelewa
11. Kuna nywele zilinyolewa akiwa mchanga Hadi hazijaota. Sehem zingine znaota lakini hiyo sehem hazioto

Nilishampeleka Kwa waganga wanasema mizimu,kurogwa, hospital Wanasema usonji(Autism),maji ya mwamposa alishatumia ,Niko naendelea kutafuta tiba naomba mnisaidie Niko TAYARI kutoa MILION 5 CASH Kwa atakayenisaidia mtoto huyu kuongea. Naumia Kwa sababu ni mwanaume siwezi kuweka emoji za kulia. Naumia sana. Namba zangu ni 0689590080.
Kwenye kuongea hapo jaribu maji ya madafu. Kuna mtu mtoto wake alifika 1.5 yrs haongei akaanza kumpa ikamsaidia.
 
🙏🙏🙏🙏
Fulsa hii ngoja nami niichangamkie ntakutafuta mkuu sina shaka kila kitu kitaenda sawa kwanguvu za ulimwengu.
 
Katika Natural health knowledge, kuna kitu kinaitwa sensitivity nerves, ubongo utoe tafsiri na hisia zifanye Kazi ili mlipuko utokee , so inshu hapa ni mfumo wa ubongo ,
Je kuna dalili zozote za kiafya anaonesha , Kama kutokwa na mate bila kujua ,

Tutahitaji kushughulikia mfumo wa ubongo ,mishipa yake pamoja na nishati zake

Nishati za ubongo hutegemea mfumo wa Figo & Kibofu , Unapotibu mfumo wa ubongo lazima uweke sawa nishati za mfumo wa Figo ,
Kwa hiyo inshu inaweza kuwa ni blockage hivyo Circulation haiko sawa , kusababisha ubongo kushindwa fanya kazi sawa sawa !

Hebu nipigie tufanye Questionnaire diagnosis, then tutajua tumpe dawa gani

Kila tatizo la kiafya lina solution kwenye Nature ! View attachment 2980343

+255757577995
Nisahihi kila tatizo lina jawabu lake kwenye
nature.
 
Po
Habari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati Anakuwa anaziba masikio
4. Anatamka sauti zinazojirudiarudia lkn hazieleweki
5. Anapenda kuning'iniza vitu mfano chaja za simu,waya,funguo,ama kitu chochote akishika yeye n kuning'iniza anaweza kutoka chumban na nguo ya ndani ya mamake akaja nayo sebuleni ananing'iniza ( anapenda sana hicho kitu)
6. Mikono yake kama imelegea hata kuanza kula mwenyewe alichelewa na saiv anakula mwenyewe Ila anasambaza chakula ukimpa wali maharage atakula 10% asilimia 90 utakuwa kasambaza chini
7. Anapigapiga kidevu chake
8. Anapenda vitu vyake tu ,
9. Hapendi kucheza na watoto wenzake anajitenga nao hata wakiwa 200 yeye atakaa pekeake anafanya vitu vyake
10. Ukimtuma kitu hawez kuleta maana hakuna kitu anaelewa
11. Kuna nywele zilinyolewa akiwa mchanga Hadi hazijaota. Sehem zingine znaota lakini hiyo sehem hazioto

Nilishampeleka Kwa waganga wanasema mizimu,kurogwa, hospital Wanasema usonji(Autism),maji ya mwamposa alishatumia ,Niko naendelea kutafuta tiba naomba mnisaidie Niko TAYARI kutoa MILION 5 CASH Kwa atakayenisaidia mtoto huyu kuongea. Naumia Kwa sababu ni mwanaume siwezi kuweka emoji za kulia. Naumia sana. Namba zangu ni 0689590080.
Pole sana! Mtoto ana usonji huyo!
 
Dada yangu Asante sana
Tuko pamoja, Karibu sana
Kama kuna Mzazi mwenye mtt anausonji au autism! Natoa no ya cm ikiwezekata tuunde group la autism parents! tushauliane shule nzur, vyakula kwajili ya brain development, njia zipi Ulitumia mtoto wako kuweza hatua moja kwenda nyingine, port training, mtt anaechagua vyakula uliwezaje kumbadilishia aina ingine ya vyakura, unamsaidiaje na tatizo la consipation! No 0755161243
 
Pole sana mara nyingi huu ugonjwa hutokea kwa mtoto ni madhara ya mama kipindi anamimba anatumia pombe au sigara , kula vyakula vya ovyo /junk food kama piza na machanjo kwahiyo ujitafakali useme ukweli uweze kusaidiwa.
 
Dogo ana special needs ni Autism hiyo usimalize pesa kwa waganga ..kubali matokeo ..jifunze jinsi ya kuishi na watoto wa aina hiyo utafurahi na kumuona wa kawaida
 
Acheni ujinga aisee. Yan eti anapenda hicho kitu cha kuning’iniza nguo ya mama ake ya ndani anakuja nayo sebuleni? 😂😂😂

Mkuu uko serious? Kwamba huyo mke hajui kutunza vitu? Kyupi mnawekaje sehemu zinapoonekana na mtoto?
Alafu wanamlaumu mtoto ana shida ya akili
 
Nadhani inawezekana ni USONJI watafute wataalam wa afya za Watoto.
Mimi wa kwangu ailichelewa kuongea ilinisumbua sana kichwani lakini sasa yuko vizuri na ameshaanza shule.
 
Acheni ujinga aisee. Yan eti anapenda hicho kitu cha kuning’iniza nguo ya mama ake ya ndani anakuja nayo sebuleni? 😂😂😂

Mkuu uko serious? Kwamba huyo mke hajui kutunza vitu? Kyupi mnawekaje sehemu zinapoonekana na mtoto?
Kama huna cha kuchangia bora ungekaa kimya au bado haujazaa ndio maana unashindwa kupicture machungu anayopitia mtoa mada?
 
Kama huna cha kuchangia bora ungekaa kimya au bado haujazaa ndio maana unashindwa kupicture machungu anayopitia mtoa mada?
Nimezaa na ninaendelea kwa mapenzi yake Mola.

Ila concern ilikuwa why mke aweke pants hadharani mpk mtoto abebe aende nayo sebleni. Na ameandika like ts a normal thing.
 
Nimezaa na ninaendelea kwa mapenzi yake Mola.

Ila concern ilikuwa why mke aweke pants hadharani mpk mtoto abebe aende nayo sebleni. Na ameandika like ts a normal thing.
Ok understood.

Hivi vitu vinachanganya sana hasa pale unapoona mwanao anapokuwa na changamoto alafu watoto wa wenzako wako poa unaweza kufuru kwa Mungu
 
Habari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati Anakuwa anaziba masikio
4. Anatamka sauti zinazojirudiarudia lkn hazieleweki
5. Anapenda kuning'iniza vitu mfano chaja za simu,waya,funguo,ama kitu chochote akishika yeye n kuning'iniza anaweza kutoka chumban na nguo ya ndani ya mamake akaja nayo sebuleni ananing'iniza ( anapenda sana hicho kitu)
6. Mikono yake kama imelegea hata kuanza kula mwenyewe alichelewa na saiv anakula mwenyewe Ila anasambaza chakula ukimpa wali maharage atakula 10% asilimia 90 utakuwa kasambaza chini
7. Anapigapiga kidevu chake
8. Anapenda vitu vyake tu ,
9. Hapendi kucheza na watoto wenzake anajitenga nao hata wakiwa 200 yeye atakaa pekeake anafanya vitu vyake
10. Ukimtuma kitu hawez kuleta maana hakuna kitu anaelewa
11. Kuna nywele zilinyolewa akiwa mchanga Hadi hazijaota. Sehem zingine znaota lakini hiyo sehem hazioto

Nilishampeleka Kwa waganga wanasema mizimu,kurogwa, hospital Wanasema usonji(Autism),maji ya mwamposa alishatumia ,Niko naendelea kutafuta tiba naomba mnisaidie Niko TAYARI kutoa MILION 5 CASH Kwa atakayenisaidia mtoto huyu kuongea. Naumia Kwa sababu ni mwanaume siwezi kuweka emoji za kulia. Naumia sana. Namba zangu ni 0689590080.
Usiende kwa waganga ,Mwamposa naye ni mganga pia , ilitakiwa urudi kwa Mwamposa ukatoe ushuhuda wa hiyo Hali ,alafu uanze na Mungu wa kweli,kama ni ugonjwa kweli unaotibika Mwanao atatibika kama tiba ipo ama mapenzi ya Mungu amuondolee hicho kikombe Mtoto ,kama ni pepo linatoka.
 
Hapo kwa waganga na maji ya mwaposya ndio ulijichanganya kabisa. Anyway naelewa mwanadamu akiwa desperate atajaribu kila njia. Katubu kwanza kwa Mungu.
 
Zile Mercury kwenye chanjo ni hatarishi sana. Zinavuruga gastrointestinal system na mfumo mzima wa fahamu.

Hata immune system lazima ivurugike na kufubaa.

Watakwambia umuone PEDIATRICIAN ili mtoto akadungwe machanjo mengine tena.
Kwan wewe haukupigwa chanjo??
 
Kama kuna Mzazi mwenye mtt anausonji au autism! Natoa no ya cm ikiwezekata tuunde group la autism parents! tushauliane shule nzur, vyakula kwajili ya brain development, njia zipi Ulitumia mtoto wako kuweza hatua moja kwenda nyingine, port training, mtt anaechagua vyakula uliwezaje kumbadilishia aina ingine ya vyakura, unamsaidiaje na tatizo la consipation! No 0755161243
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣

Cc: DR Mambo Jambo NAMBA MOJA AJAYE NCHINI


Usonji VS MACHANJO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom