Mr Mwabange
Member
- Jul 30, 2015
- 37
- 28
Tumeanza kuhangaikia zamani mtoto anapokuwa unaweza kudhan pengine kachelewa tu ataongea lkn muda unazidi kwenda tu unashtuka
Katika Natural health knowledge, kuna kitu kinaitwa sensitivity nerves, ubongo utoe tafsiri na hisia zifanye Kazi ili mlipuko utokee , so inshu hapa ni mfumo wa ubongo ,
Je kuna dalili zozote za kiafya anaonesha , Kama kutokwa na mate bila kujua ,
Tutahitaji kushughulikia mfumo wa ubongo ,mishipa yake pamoja na nishati zake
Nishati za ubongo hutegemea mfumo wa Figo & Kibofu , Unapotibu mfumo wa ubongo lazima uweke sawa nishati za mfumo wa Figo ,
Kwa hiyo inshu inaweza kuwa ni blockage hivyo Circulation haiko sawa , kusababisha ubongo kushindwa fanya kazi sawa sawa !
Hebu nipigie tufanye Questionnaire diagnosis, then tutajua tumpe dawa gani
Kila tatizo la kiafya lina solution kwenye Nature !
+255757577995