binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 9,168
- 23,057
Poleni sana ndugu.
Hyo ndy mbaya watu hao siku ukikosana nao wana kuweka watch later list lazma waseme na wewe hat ipite miak mingapi yani atakupata tu.99% ya ulivosema ndo yanatokea kwa mwanangu 4yrs.
Ila ana moja la ziada. Usiku akilala anasaga saana meno.
Dah!Habari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati Anakuwa anaziba masikio
4. Anatamka sauti zinazojirudiarudia lkn hazieleweki
5. Anapenda kuning'iniza vitu mfano chaja za simu,waya,funguo,ama kitu chochote akishika yeye n kuning'iniza anaweza kutoka chumban na nguo ya ndani ya mamake akaja nayo sebuleni ananing'iniza ( anapenda sana hicho kitu)
6. Mikono yake kama imelegea hata kuanza kula mwenyewe alichelewa na saiv anakula mwenyewe Ila anasambaza chakula ukimpa wali maharage atakula 10% asilimia 90 utakuwa kasambaza chini
7. Anapigapiga kidevu chake
8. Anapenda vitu vyake tu ,
9. Hapendi kucheza na watoto wenzake anajitenga nao hata wakiwa 200 yeye atakaa pekeake anafanya vitu vyake
10. Ukimtuma kitu hawez kuleta maana hakuna kitu anaelewa
11. Kuna nywele zilinyolewa akiwa mchanga Hadi hazijaota. Sehem zingine znaota lakini hiyo sehem hazioto
Nilishampeleka Kwa waganga wanasema mizimu,kurogwa, hospital Wanasema usonji(Autism),maji ya mwamposa alishatumia ,Niko naendelea kutafuta tiba naomba mnisaidie Niko TAYARI kutoa MILION 5 CASH Kwa atakayenisaidia mtoto huyu kuongea. Naumia Kwa sababu ni mwanaume siwezi kuweka emoji za kulia. Naumia sana. Namba zangu ni 0689590080.
Kiimani/asili zaidiSerious
Sehem ganKuna kitu kinaitwa udata na kingine kimeo Mchunguze kama anavyo.
MdomoniSehem gan
Nimekwisha muelekeza Tangu mwanzo coments za mwanzo mwanzo kidogo hiyo ni ASD "Autism" ampeleke hospitali akapewe Ushauri jinsi ya kumtunza na kumlea kwenye Mazingulira mazuri
Pole sana Kaka kwa Mwanao. Lakini sikiliza Madaktari wataalam.Habari za majukumu ndugu zangu,Nina mtoto wa kiume miaka 4 Sasa lakini haongei ni kupiga makelele tu ana dalili hizi hapa chini
1. Ukimuita jina lake hageuki
2. Anapiga makelele tu
3.kuna wakati Anakuwa anaziba masikio
4. Anatamka sauti zinazojirudiarudia lkn hazieleweki
5. Anapenda kuning'iniza vitu mfano chaja za simu,waya,funguo,ama kitu chochote akishika yeye n kuning'iniza anaweza kutoka chumban na nguo ya ndani ya mamake akaja nayo sebuleni ananing'iniza ( anapenda sana hicho kitu)
6. Mikono yake kama imelegea hata kuanza kula mwenyewe alichelewa na saiv anakula mwenyewe Ila anasambaza chakula ukimpa wali maharage atakula 10% asilimia 90 utakuwa kasambaza chini
7. Anapigapiga kidevu chake
8. Anapenda vitu vyake tu ,
9. Hapendi kucheza na watoto wenzake anajitenga nao hata wakiwa 200 yeye atakaa pekeake anafanya vitu vyake
10. Ukimtuma kitu hawez kuleta maana hakuna kitu anaelewa
11. Kuna nywele zilinyolewa akiwa mchanga Hadi hazijaota. Sehem zingine znaota lakini hiyo sehem hazioto
Nilishampeleka Kwa waganga wanasema mizimu,kurogwa, hospital Wanasema usonji(Autism),maji ya mwamposa alishatumia ,Niko naendelea kutafuta tiba naomba mnisaidie Niko TAYARI kutoa MILION 5 CASH Kwa atakayenisaidia mtoto huyu kuongea. Naumia Kwa sababu ni mwanaume siwezi kuweka emoji za kulia. Naumia sana. Namba zangu ni 0689590080.
😭Pole sana Kaka kwa Mwanao. Lakini sikiliza Madaktari wataalam.
Shida ya Mwanao sio Ndogo ni Kubwa.
Swala la kuongea sio issue sana lakini hizo tabia zingine alizo nazo zinafanya lionekane kubwa.
Nakushauri kwa sisi Madaktari wa Miti Shamba( bush doktas) usimleta tutakulia pesa zako bure.
Mpeleke kwa Paediatrician na Medical Psychologist angalau utapata unafuu wa namna ya ku cope naye.
Hiyo ni Autism haina Dawa.
Kile ambacho akifunua ulimi kiutando flani kimeshika ulimi ?Mdomoni
Katika hali ya kawaida, mtotoMtoto inabidi aanze kukaa na kusimama akiwa na miezi mingapi maana wangu ana miezi mitatu ila hapendi kulala lala ana taka kusimama simama
Amtizame vyote viwiliKile ambacho akifunua ulimi kiutando flani kimeshika ulimi ?
Au kile kiko ndani koo la chakula mlangoni kinachoitwa kilimi?
Wewe...sio Doctor hizo Dalili za polio .....?Anadalili za ububu
Ana dalili za polio
Ana dalili za mental retardation
Ana dalili za teratogenic conditions (fatilia kipindi cha mimba mama yake alikuwa anapenda kutumia vilevi au vyakula gan)
Wakat anazaliwa alilia? Na kama alilia alitumia muda gan Toka azaliwe mpka kulia?
Muanzishie doz ya mayai, vichwa vya samak wabichi, maziwa mabichi, mboga za majani, karanga na maharage. Yani kifupi apate protein ya kutosha
Sema wew Mkuu hayo ni mawazo yanguWewe...sio Doctor hizo Dalili za polio .....?
Rubish