Mwanamke wa Kikurya apokonya majambazi matatu bunduki aina ya SMG

kweri kabisa nataka nitafute jiko la KIKURYA km kuna MKURYA yoyote anatafuta mune wa kuolewa naye
plz PM haraka
shart moja tu uwe MKURYA
nimewapenda bure wakurya
ha ha ha
Yupo mmoja Gibhaso, lakini uwe tayari kudhibitiwa ikiwa ni pamoja na kupigwa na mwiko pale utakapoleta ukorofi.
 
Wanaume wa Dar njooni huku ukuryani muoe wanawake wa kupambana na panya road maana mmezidi uoga.
 
Aisee, safi sanakumbe kule kutandikwa na waume zao ni kuwapa ujasiri wa kiwango cha juu sana. Hongera mama ila pole kwa mafunzo ya ujasiri uliyo pitia.
Hiyo inaitwa Self Defence, bila kumpa kichapo atakuchapa; na ukichapwa na mwanamke, hata kama wewe ni Mkuu wa Majeshi, huna la kusema kwa wanaume wenzio.
 
Yupo mmoja Gibhaso, lakini uwe tayari kudhibitiwa ikiwa ni pamoja na kupigwa na mwiko pale utakapoleta ukorofi.
huyo ndo mzuri unajua mm kajitu kadogodogo sasa wewe ukileta habari za kunionea tu naenda kukusemea kwa mkewangu sasa jenga picha nini kitakupata
 
Sio kama wanawake wa Dar hata kipepeo tu kinawatisha
Nenda huko unatuonea wanawake wa dar wakati wanaume wa dar ni tatizo kubwa hata kunyanyua ndoo ni shida utasikia kwa nini nipate shida wakati naweza kumlipa mtu.
Kugongelea msumari mmoja tu ukutani anamuita fundi.
Sasa utajua mwenyewe tatizo ni dar au wakazi wake
 
Back
Top Bottom