Sio kama wanawake wa Dar hata kipepeo tu kinawatisha
HA HA HA HA Wale wa baby mjusi huyo siwez kulala mwenyewe...Sio kama wanawake wa Dar hata kipepeo tu kinawatisha
Sasa mkuu kuna sababu gani ya kubishana mie nimesema wanawake wa DarAcha utoto wewe unasema mwanamke wa Dar wakati askari aliyefundishwa mbinu zote akiona ile mashine ana palalyse ukiwemo wewe na mimi kumnyang'anya jambazi bunduki inabidi upate chakula alichokitetea mbunge wa Nzera Joseph Msukuma
Ushauri kwa ambao hawajaoa, nendeni Tarime ili kupata mke wa kikurya ambaye atasaidia ulinzi shirikishi ndani ya nyumba hasa mnapokuwa hampo. Haya makabila mengine mke anaweza kuporwa hata kwa kutishiwa makofi tuu.
Jamaa umenichekesha sana hahahaha ama kweliHuyu mama ukiishi naye inabidi uwe na nidhamu sana, akikukuambia telemka Fanya hivyo haraka sana, akisema tupige mechi jitume sana maana unaweza kupata kipigo cha mbwa mwizi
Weeee kuna wanaume wakisikia mlio tu wanabeba baiskeli begani na kunyata tartiiiibSio kama wanawake wa Dar hata kipepeo tu kinawatisha
Nitalienzi penzi langu kwake na sita muuzi. Lakini nitakuwa na amani moyoni nikiwa safarini.Hebu turudi nyuma siku ukimuudhi utakula kibano mpaka ukimbie nyumba
ni mimi huyo mkuu ule mlio tu siwezi tena kurudi eneo la tukio hta km majambazi wameondokaWeeee kuna wanaume wakisikia mlio tu wanabeba baiskeli begani na kunyata tartiiiib
Pole sana kwa mimi hata mzinga naona sawa tuni mimi huyo mkuu ule mlio tu siwezi tena kurudi eneo la tukio hta km majambazi wameondoka