Mbumbumbu wa mwisho
Member
- Aug 31, 2015
- 80
- 23
Hata wanaume wa Dar!!!!!!!Sio kama wanawake wa Dar hata kipepeo tu kinawatisha
Hata wanaume wa Dar!!!!!!!Sio kama wanawake wa Dar hata kipepeo tu kinawatisha
Atakuwa charminglady huyo. Hongera sana muisiki weitu
Kkkkkkkk umejuajesababu wewe ni mdunguaji hushazoea kudungua watu kwako milio hata ya bomu la nyuklia ni km bluz za celion dieon ndo kwanza zinakubembeleza ulale
ha ha ha
Kijeba mzima unashindia chipsi unafkiri pilika kama ya huyu mama utaiweza?Vidole laini hata ndoo ya maji kubeba kazi.Huwezi hii mizigo,eti kitoto cha miaka sijui 15 kinawafanya watu wanalia lia,ohoo panya sijui nini.Wanabahati walifanyia huko Dar hao.Si unaona huku kwetu mama tu katia kazi,jiulize mbaba atafanya nini,ungekuta huyo dogo kasha chemshwa supu zamani saaana.VIP wanaume wa dar wanawakimbia panya road, acheni chips yai nyie mbwela mbwela
aunga mkono hojaHuyo mama alijitolea mhanga kwa kuwaza:"Potelea mbali na liwalo liwe, kuonewa sitaki".
Inatakiwa apongezwe kwa kupewa zawadi maalum kwenye sherehe ya kitaifa ya kupongeza mashujaa.
Unawajua vizuri panya road ?....Subiri siku ukutane nao uani wakati unajisaidia utoke baru na kyupi kyako mkononi....Kijeba mzima
Kijeba mzima unashindia chipsi unafkiri pilika kama ya huyu mama utaiweza?Vidole laini hata ndoo ya maji kubeba kazi.Huwezi hii mizigo,eti kitoto cha miaka sijui 15 kinawafanya watu wanalia lia,ohoo panya sijui nini.Wanabahati walifanyia huko Dar hao.Si unaona huku kwetu mama tu katia kazi,jiulize mbaba atafanya nini,ungekuta huyo dogo kasha chemshwa supu zamani saaana.
Bwana weee acha uwoga wewe.Tatizo umeweka fikra zako kushindwa,sasa tunatofautiana ndugu.Unawajua vizuri panya road ?....Subiri siku ukutane nao uani wakati unajisaidia utoke baru na kyupi kyako mkononi....
Chimbuko la Panya road & Vigodoro !!
Umemaliza kila kitu, vijanaume vya Dar hats kwa bed Ni kimoja Tu vinakuwa hoiKijeba mzima
Kijeba mzima unashindia chipsi unafkiri pilika kama ya huyu mama utaiweza?Vidole laini hata ndoo ya maji kubeba kazi.Huwezi hii mizigo,eti kitoto cha miaka sijui 15 kinawafanya watu wanalia lia,ohoo panya sijui nini.Wanabahati walifanyia huko Dar hao.Si unaona huku kwetu mama tu katia kazi,jiulize mbaba atafanya nini,ungekuta huyo dogo kasha chemshwa supu zamani saaana.
Basi kapitepite kule Buguruni Kisiwani kuanzia SAA 1 jioni halafu ulete mrejesho hapa"Sikujua kumbe panya road ni noma"......Bwana weee acha uwoga wewe.Tatizo umeweka fikra zako kushindwa,sasa tunatofautiana ndugu.
Ni ngumu kukuta mwanamke wa kikurya ana ma make up makucha bandia mawigi na makolo kolo kibao mwilini mwake na ndio maana sishangai kwa ujasiri wa huyu mama.
Mara ngapi nikapite?Usiniletee hadithi za kitoto hapa.Wewe kaa ndani na uoga wako.Anga zingnine acha tu kama zilivyo.Endelea kulialia...Basi kapitepite kule Buguruni Kisiwani kuanzia SAA 1 jioni halafu ulete mrejesho hapa"Sikujua kumbe panya road ni noma"......
Hahahaha,tena panya road wenye wanatembe mchana kweupeee,na wao wapo kibaooo wanakimbiaVIP wanaume wa dar wanawakimbia panya road, acheni chips yai nyie mbwela mbwela