Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Watu wana huruma sana duniani ingekua mimi hata angekuja papa john wa ii(rip) na papa benedicto wa 16 asingeweza suruhisha huo mgogoro,yani hapo hapo ni kwao namrudisha
Hebu igeuzie upande wako..............au ni kwa vile hajakufumania ?