Mwanamke huyu utamlaumu?

Kumbe wakati mwingine unaweza ukamsababisha mwenzi wako akakucheat!Sikia hii,.Mke ni mhasibu wa shirika la umeme tanzania Tanesco,mkoa wa Tabora(sio jina sahihi).Mumemi mwajiriwa serikalini,mume huyu amekua bize sana kiasi kwamba kumpata nyumbuni ni bahati labda usiku kuanzia saa 6 usiku.Kwa maelezo ya mkewe ni kwamba mumewe akifika huwa amechoka sana na wakati mwingine hali chakula ambacho mkewe hujitahidi kukipika hata kama nae huwa bize kiasi gani,amejiwekea utaratibu chakula cha usiku lazima apike yeye.Siku ya tukio mumewe alikua amesafiri kwa muda mwezi na nusu kikazi Dar,siku aliyotakiwa kurudi alimpigia mkewe simu kuwa atapitia Shinyanga kwenye semina itakayochukua siku mbili,lakini alipofika Shinyanga akapewa taarifa kuwa semina imeahirishwa,ikabidi ageuze kurudi Tabora,alipofika Nzega akakumbuka hajamjulisha mkewe dharula iliyojitokeza,akaamua kumpigia mkewe simu,lakini ikawa haipatikani,alifanya hivyo mara kadhaa bila mafanikio,akaamua aende tu,kabla ya kufika nyumbani akamkuta mkewe akifanya ngono na kijana ambae anaishi jirani na pale.Ulitokea mtafaruku watu wenye busara wakalizima zogo lile.Yule bwana akasema hamuitaji mkewe,ila wakashauriwa waende kanisani kutatua mzozo kwani walikua ni watu wazima!Kweli walienda ndipo mkewe yule bwana alipofunguka na kudai mumewe amekua hampi haki ya ndoa na kama akimpa ni mara moja kwa wiki mbili na hata hiyo mara moja siyo ya kuridhisha,alipoulizwa mumewe alikubali lakini akadai ni ubize kazini ndo chanzo!Bahati nzuri padri aliwaelesha makosa yao wakaombana msamaha yakaisha.Sasa huyu mwanamke ana makosa?Inawezekana alikosea kufanyia home lakini chanzo cha tatizo ni mumewe!So kucheat kwingine kuna mashiko!

Confronted with gossip! Watu wa Tabora tunawajua.
 
Canta,fine mke alifanya kosa sijakataa,lakini linapotokea tatizo kumbuka namna ya kulitatua kwa usahihi huwa anajua yule ambae hajapata tatizo,huyu mama ni sawa na mtu mwenye njaa anaangalia chakula kitakachokua karibu nae,suala la usalama wa hicho chakula linakuja baadae!Lakini kama chakula hicho kama kina madhara yatampata tu,haijalishi kama ilikua no way out,lakini linapokuja suala la chanzo mwenye kujibu ni yule ambae hakumpa chakula mhusika ikapelekea akapata njaa kali iliyomfanya atafute chakula chochote!
Njaa zingine ni kuziendekeza Eiyer,
Ungekuwa umeandika kuwa huyo mama alishaongea na mumewe ikashindikana,
Akaenda kwa washenga na viongozi wa dini ikashindikana pia,
Hapo wala nisingemlaumu kbs kwan alishafanya jitihada ikashindikana na ameshindwa kuvumilia,
Lkn hayo yote hakufanya kaona jamaa yuko bize kaamua kuwa mzinzi,
Naamin kbs huyo mwanaume km angefikishwa huko kote angeelewa na kuangalia namna ya kuepusha aibu km iliyowakuta.
 
Kumbe wakati mwingine unaweza ukamsababisha mwenzi wako akakucheat!Sikia hii,.Mke ni mhasibu wa shirika la umeme tanzania Tanesco,mkoa wa Tabora(sio jina sahihi).Mumemi mwajiriwa serikalini,mume huyu amekua bize sana kiasi kwamba kumpata nyumbuni ni bahati labda usiku kuanzia saa 6 usiku.Kwa maelezo ya mkewe ni kwamba mumewe akifika huwa amechoka sana na wakati mwingine hali chakula ambacho mkewe hujitahidi kukipika hata kama nae huwa bize kiasi gani,amejiwekea utaratibu chakula cha usiku lazima apike yeye.Siku ya tukio mumewe alikua amesafiri kwa muda mwezi na nusu kikazi Dar,siku aliyotakiwa kurudi alimpigia mkewe simu kuwa atapitia Shinyanga kwenye semina itakayochukua siku mbili,lakini alipofika Shinyanga akapewa taarifa kuwa semina imeahirishwa,ikabidi ageuze kurudi Tabora,alipofika Nzega akakumbuka hajamjulisha mkewe dharula iliyojitokeza,akaamua kumpigia mkewe simu,lakini ikawa haipatikani,alifanya hivyo mara kadhaa bila mafanikio,akaamua aende tu,kabla ya kufika nyumbani akamkuta mkewe akifanya ngono na kijana ambae anaishi jirani na pale.Ulitokea mtafaruku watu wenye busara wakalizima zogo lile.Yule bwana akasema hamuitaji mkewe,ila wakashauriwa waende kanisani kutatua mzozo kwani walikua ni watu wazima!Kweli walienda ndipo mkewe yule bwana alipofunguka na kudai mumewe amekua hampi haki ya ndoa na kama akimpa ni mara moja kwa wiki mbili na hata hiyo mara moja siyo ya kuridhisha,alipoulizwa mumewe alikubali lakini akadai ni ubize kazini ndo chanzo!Bahati nzuri padri aliwaelesha makosa yao wakaombana msamaha yakaisha.Sasa huyu mwanamke ana makosa?Inawezekana alikosea kufanyia home lakini chanzo cha tatizo ni mumewe!So kucheat kwingine kuna mashiko!
KWENYE RED kwa iyo kufanyia sehemu nyingine ndo sio kosa?,, Mume kuchelewa kurudi ndo kosa?,,pamoja na kuchelewa kurudi na kufanya mara moja au mbili kwa week ndo kosa?,msituleze upupu wenu apa,:embarassed2:
 
hakuna kitu ambacho sikipendi,kama migogoro yangu isuluhishwe na mtu mwengine.mtoa mada umesema hao ni watu wazima,maybe hiyo ndoa ni ya miaka mingi.sheria za dini uzinzi ndio unatengua ndoa,na pengine huyo mama hiyo sio mara ya kwanza.mambo mengine sort out yourself.ingekuwa ndoa changa hapo mengine.huyo mama hatoacha,ila atakuwa more careful.atajipa break ya muda tu.huo ndio ukweli wenyewe
 
Canta,unapokua na tatizo kumbuka akili haifanyi kazi vizuri,lakini unapokosea linakua ni kosa,kinachotakiwa ni kuangalia mazingira ya kosa kisha mengine yanafuata!
 
Kisukari,assumption hazitakiwi kwenye mambo haya,huwezi kutoa maamuzi kutokana na assumption.Uzinzi ni uzinzi kiongozi wa dini angesema waachane kisa mwanamke amezini bila kuangalia sababu za kuzini angekua hajawasaidi,waliamua kuendelea na maisha baada ya kuonekana kila mmoja anahusika kwenye tatizo!
 
Kisukari,assumption hazitakiwi kwenye mambo haya,huwezi kutoa maamuzi kutokana na assumption.Uzinzi ni uzinzi kiongozi wa dini angesema waachane kisa mwanamke amezini bila kuangalia sababu za kuzini angekua hajawasaidi,waliamua kuendelea na maisha baada ya kuonekana kila mmoja anahusika kwenye tatizo!
hata ingekuwa mimi ameniomba ushauri,nisingemwambia waachane,ila aamue yeye mwenyewe kama yeye,waongee wao wenyewe,kwani wote ni watu wazima.si angalau yeye anapewa mara 2 kwa wiki,kuna wengine wanapewa mara moja kwa miezi
 
saves the guy ryt kabisa....mie wala simlaumu huyo mke. haiwezekani wewe ukawa buzy na kumwacha mkewe bila huduma....huo ni ibinafsi. kama job jako muhimu sana basi oa kazi na muache mke aolewe na wengine.
tho money cn procure many of lifes amonities it certainly is not a substitute for love and care that humans expect in a marriage.
 
Huyo mama haikuwa mara ya kwanza kufanya hivyo. Ilikuwa ni kawaida yake tena kwa watu mbalimbali hapo tu ilikuwa ni arobaini. Dawa ni kumtosa moja kwa moja maana hawezi kuacha uzinzi tena ataendelea tu. Hata kama ataacha bwana ataamini vipi tena.

Hapo hata mimi nakuunga mkono huyo hawezi kuiacha hiyo tabia,fukuzia mbali kabisa ili awe free.
 
Haiwezekani umkute mkeo anatiwa halafu ukamsamehe..lazima huyo jamaa ana matatizo ya akili!
hili ndio kosa linaloweza kuvunja ndoa..hata bible inasema ndoa itavunjwa na uzinzi tu!
 
Kumbe wakati mwingine unaweza ukamsababisha mwenzi wako akakucheat!Sikia hii,.Mke ni mhasibu wa shirika la umeme tanzania Tanesco,mkoa wa Tabora(sio jina sahihi).Mumemi mwajiriwa serikalini,mume huyu amekua bize sana kiasi kwamba kumpata nyumbuni ni bahati labda usiku kuanzia saa 6 usiku.Kwa maelezo ya mkewe ni kwamba mumewe akifika huwa amechoka sana na wakati mwingine hali chakula ambacho mkewe hujitahidi kukipika hata kama nae huwa bize kiasi gani,amejiwekea utaratibu chakula cha usiku lazima apike yeye.Siku ya tukio mumewe alikua amesafiri kwa muda mwezi na nusu kikazi Dar,siku aliyotakiwa kurudi alimpigia mkewe simu kuwa atapitia Shinyanga kwenye semina itakayochukua siku mbili,lakini alipofika Shinyanga akapewa taarifa kuwa semina imeahirishwa,ikabidi ageuze kurudi Tabora,alipofika Nzega akakumbuka hajamjulisha mkewe dharula iliyojitokeza,akaamua kumpigia mkewe simu,lakini ikawa haipatikani,alifanya hivyo mara kadhaa bila mafanikio,akaamua aende tu,kabla ya kufika nyumbani akamkuta mkewe akifanya ngono na kijana ambae anaishi jirani na pale.Ulitokea mtafaruku watu wenye busara wakalizima zogo lile.Yule bwana akasema hamuitaji mkewe,ila wakashauriwa waende kanisani kutatua mzozo kwani walikua ni watu wazima!Kweli walienda ndipo mkewe yule bwana alipofunguka na kudai mumewe amekua hampi haki ya ndoa na kama akimpa ni mara moja kwa wiki mbili na hata hiyo mara moja siyo ya kuridhisha,alipoulizwa mumewe alikubali lakini akadai ni ubize kazini ndo chanzo!Bahati nzuri padri aliwaelesha makosa yao wakaombana msamaha yakaisha.Sasa huyu mwanamke ana makosa?Inawezekana alikosea kufanyia home lakini chanzo cha tatizo ni mumewe!So kucheat kwingine kuna mashiko!

mwanamke ana kosa!!popote utakapojilegeza elewa utaliwa tu!!hicho ndicho kilichowaleta duniani!!mengine ni kujidanganya
 
Cheating haina justification.

unaweza kuwa sahihi kwa kiasi kikubwa. LAKINI kwa mtazamo wangu kosa kubwa la huyo mama ni kule kulala na kijana wake ndani ya nyumba yao na mumewe. angeenda chemba kidogo mbona hiyo wala sio kesi! bila shaka huylo mume pamoja na kusema yuko bize ni uongo tu wa kutafuta sababu kwa kuwa si rahisi awe bize kiasi cha kukosa hata muda wa kumpa mkewe haki ya unyumba, hata sie tunaajiriwa na ofisi zetu ziko bize na tunasafiri sana lkn haijafikia hatua ya kushindwa kutimiza majukumu yako ya msingi katika nyumba si kwa mume tu hata kwa watoto/wanafamilia wengine
 
Hapo hata mimi nakuunga mkono huyo hawezi kuiacha hiyo tabia,fukuzia mbali kabisa ili awe free.

Ndo maana wanaume tunaambiwa ni wakatili kwa mambo kama haya,kwanini hamuangalii upande wa pili wa shilingi?
 
saves the guy ryt kabisa....mie wala simlaumu huyo mke. haiwezekani wewe ukawa buzy na kumwacha mkewe bila huduma....huo ni ibinafsi. kama job jako muhimu sana basi oa kazi na muache mke aolewe na wengine.
tho money cn procure many of lifes amonities it certainly is not a substitute for love and care that humans expect in a marriage.

Exactily!Lazima na huyu jamaa nae awajibike!
 
hata ingekuwa mimi ameniomba ushauri,nisingemwambia waachane,ila aamue yeye mwenyewe kama yeye,waongee wao wenyewe,kwani wote ni watu wazima.si angalau yeye anapewa mara 2 kwa wiki,kuna wengine wanapewa mara moja kwa miezi

Nimesema mara 1 kwa wiki mbili,sio mara mbili kwa wiki!
 
inauma sana,hapo hakuna cha nani mwenye kosa uzinzi ndani ya nyumba ni maangamizo ya familia,haukubaliki popote pale,no justfication
 
Kweli walienda ndipo mkewe yule bwana alipofunguka na kudai mumewe amekua hampi haki ya ndoa na kama akimpa ni mara moja kwa wiki mbili na hata hiyo mara moja siyo ya kuridhisha,

hakuna sababu hapo hii ni njia ya halilisha uozo tu,
je ukiongea naye kwamba unataka hivyo atakataa?
je hiyo kutoka nje ya ndoa ndio njia sahihi ya kutatua tatizo hilo?
 
hakuna sababu hapo hii ni njia ya halilisha uozo tu,
je ukiongea naye kwamba unataka hivyo atakataa?
je hiyo kutoka nje ya ndoa ndio njia sahihi ya kutatua tatizo hilo?

Ndugu naomba ujue kwamba sijashabikia kitendo cha huyu mama,ninachozungumza hapa ni chanzo cha tatizo,je mzizi wake ni nini?
 
hivi katika dunia ya sasa hivi, ni mwanaume gani atakubali suluhu ya kadhia hii. Vinginevyo mtoa kamba umetia chumvi ama ni story ya kubuni,
 
Back
Top Bottom