Ukiwa mkweli kupata mwanamke ni kazi sana kuliko kazi yenyeweKaka Mwambie wewe ni jobless au mwambie unavzia tu kibarua mahali ukibahatika ndio maisha hayo, akikimbia ujue huyu ni walewale tafuta pengine .
Msaga punjeMm hua nakua mkweli tu
Npo nafanya kazi kwenye mashine ya kusaga mahindi ya ukoo hii nikiisema Kwa kingereza inakua imekaa kibabe hua nasema Am Engineer working in Monocotyledons finalizing machine
Sasa hvo unakua unaharibu atanikimbiaMsaga punje
Atapotea ghafla kama upepo? Hutaona hatabkaelekea kona ipi? 😂Mwambie wewe ni saidia fundi tu😅 hatokupiga mizinga.
Hapo hapo mazungumzo yanakatikiaUnajibu "mie ni jobless "
Bas case kwishaaa.
basi hakukupenda wee, alipenda kazi aliyotaka kusikia kwako.Hapo hapo mazungumzo yanakatikia
Angekupenda asingeuliza kazi yako, ujue kuna vitu ni obvious kwenye mapenzi utavijua tu bila kuuliza utaambiwa kama kwel kilichowaweka karibu ni mapenzi.basi hakukupenda wee, alipenda kazi aliyotaka kusikia kwako.
Lazima uulizwe ili kujua nadeal na mtu wa aina gani.Sasa hakuna watu mnauliza hilo swali kama nyie.
Wanaume wa skuizi akikujua tu unaulizwa una ishu gani?
Kwanini kuulizwa "unafanya gani" iwe shida?Ndugu zangu
Unapo mpenda mdada pasi na kujali anafanya kazi au hafanyi, pasi na kujali ni mzuri au sio mzuri , pasi na kujali ni tegemezi na masikini sana, pasi na kujali anatokea kwenye himaya tajiri ila moyo umemuangukia unaamua kumtongoza kwa moyo mmoja na kwa upendo wa dhahiri na dhati mno.
Shida inaanza pale mwanamke anapotaka kujua unafanya kazi gani ya kukuingizia kipato sijui nyie mna wajibuje.
Kwa upande wangu mwanamke nikimtongoza katika kudate date akisha niuliza tuu nafanya kazi gani najua hapa ni kupigwa vizinga au kukimbiwa kabisa inategemeana na nitakavyo mjibu aina ya kazi ni nayoifanya
Je, nyie mnawajibuje hawa viumbe wakiwauliza mnafanya kazi gani?
Kwani kutafuta Kazi ni KAZI..?Kwasasa kazi yangu ni kutafuta kazi.