Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 26,722
- 69,827
Usisahau kuweka reference kuwa "mimi ni jobolesi kama Intelligent businessman sema yeye ni pro"Unajibu "mie ni jobless "
Bas case kwishaaa.
Usisahau kuweka reference kuwa "mimi ni jobolesi kama Intelligent businessman sema yeye ni pro"Unajibu "mie ni jobless "
Bas case kwishaaa.
Makaho makuhuNiko tiharahei
Kama mimi huwa hawaaminiMi huwa nawaambia mi jobless cha ajabu wanagoma
Tatizo ukiwajibu ukweli wanaanza mizinga au wanakupotezea.Swali sio baya.
Sasa utadeal vipi na mtu usiyejua anachojishughulisha nacho?
Transparency ni kitu poa kwa relationship, nadhani Wadada wapo sawa kuuliza hivo.
Mission town ndio jibu ninalojibu mara nyingi akijaa na akaingia kwenye mfumo wangu basi anaanza kuona uhalisia wangu.Ndugu zangu
Unapo mpenda mdada pasi na kujali anafanya kazi au hafanyi, pasi na kujali ni mzuri au sio mzuri , pasi na kujali ni tegemezi na masikini sana, pasi na kujali anatokea kwenye himaya tajiri ila moyo umemuangukia unaamua kumtongoza kwa moyo mmoja na kwa upendo wa dhahiri na dhati mno.
Shida inaanza pale mwanamke anapotaka kujua unafanya kazi gani ya kukuingizia kipato sijui nyie mna wajibuje.
Kwa upande wangu mwanamke nikimtongoza katika kudate date akisha niuliza tuu nafanya kazi gani najua hapa ni kupigwa vizinga au kukimbiwa kabisa inategemeana na nitakavyo mjibu aina ya kazi ni nayoifanya
Je, nyie mnawajibuje hawa viumbe wakiwauliza mnafanya kazi gani?
Mwambie kuna sehemu umejishikiza ili kisogeza siku, japo pia kuna biashara zako binafsi unafanya.Ndugu zangu
Unapo mpenda mdada pasi na kujali anafanya kazi au hafanyi, pasi na kujali ni mzuri au sio mzuri , pasi na kujali ni tegemezi na masikini sana, pasi na kujali anatokea kwenye himaya tajiri ila moyo umemuangukia unaamua kumtongoza kwa moyo mmoja na kwa upendo wa dhahiri na dhati mno.
Shida inaanza pale mwanamke anapotaka kujua unafanya kazi gani ya kukuingizia kipato sijui nyie mna wajibuje.
Kwa upande wangu mwanamke nikimtongoza katika kudate date akisha niuliza tuu nafanya kazi gani najua hapa ni kupigwa vizinga au kukimbiwa kabisa inategemeana na nitakavyo mjibu aina ya kazi ni nayoifanya
Je, nyie mnawajibuje hawa viumbe wakiwauliza mnafanya kazi gani?
Swali muhimu sana katika mahusiano. Chukulia huyo ndio binti yako amesema ana mchumba halafu hajui anafanya kazi gani, mzazi si utaona mtoto ni bogus kabisa.Ndugu zangu
Unapo mpenda mdada pasi na kujali anafanya kazi au hafanyi, pasi na kujali ni mzuri au sio mzuri , pasi na kujali ni tegemezi na masikini sana, pasi na kujali anatokea kwenye himaya tajiri ila moyo umemuangukia unaamua kumtongoza kwa moyo mmoja na kwa upendo wa dhahiri na dhati mno.
Shida inaanza pale mwanamke anapotaka kujua unafanya kazi gani ya kukuingizia kipato sijui nyie mna wajibuje.
Kwa upande wangu mwanamke nikimtongoza katika kudate date akisha niuliza tuu nafanya kazi gani najua hapa ni kupigwa vizinga au kukimbiwa kabisa inategemeana na nitakavyo mjibu aina ya kazi ni nayoifanya
Je, nyie mnawajibuje hawa viumbe wakiwauliza mnafanya kazi gani?
Mm hua nakua mkweli tu
Npo nafanya kazi kwenye mashine ya kusaga mahindi ya ukoo hii nikiisema Kwa kingereza inakua imekaa kibabe hua nasema Am Engineer working in Monocotyledons finalizing machine
jamaniiiiUsisahau kuweka reference kuwa "mimi ni jobolesi kama Intelligent businessman sema yeye ni pro"
Ndio 😂jamaniiii
😄😄Hawamini au?Mi huwa nawaambia mi jobless cha ajabu wanagoma
Hilo swali sio binti pekee atakaye kuuliza siku ya kwanza,bali hata siku ya kupeleka barua ya uchumba,swali la kwanza wazazi kumuuliza binti yao kwamba mkwe wao anayetaka kuposa anafanya kazi gani? na kama kazi yenyewe hawaja ielewa basi barua haijibiwi.Ndugu zangu
Unapo mpenda mdada pasi na kujali anafanya kazi au hafanyi, pasi na kujali ni mzuri au sio mzuri , pasi na kujali ni tegemezi na masikini sana, pasi na kujali anatokea kwenye himaya tajiri ila moyo umemuangukia unaamua kumtongoza kwa moyo mmoja na kwa upendo wa dhahiri na dhati mno.
Shida inaanza pale mwanamke anapotaka kujua unafanya kazi gani ya kukuingizia kipato sijui nyie mna wajibuje.
Kwa upande wangu mwanamke nikimtongoza katika kudate date akisha niuliza tuu nafanya kazi gani najua hapa ni kupigwa vizinga au kukimbiwa kabisa inategemeana na nitakavyo mjibu aina ya kazi ni nayoifanya
Je, nyie mnawajibuje hawa viumbe wakiwauliza mnafanya kazi gani?
Mm hua nakua mkweli tu
Npo nafanya kazi kwenye mashine ya kusaga mahindi ya ukoo hii nikiisema Kwa kingereza inakua imekaa kibabe hua nasema Am Engineer working in Monocotyledons finalizing machine
WeeNdio
Nimekosea sheikh au