MwanajamiiOne, Lizzy,Pretta, Kipipi, Neiwa, Badili Tabia, Queenkami, Ruta, GT nk

Ronn M

JF-Expert Member
May 2, 2012
1,279
683
Note: Don't take this personal! Just for funny, u know. . . .They say great thinker don't discuss people right? Hope I'm discussing characters qualities and attributes. . . . . .

Mwanajamiione

Huyu anaonekana anampenda sana mumewe, lakini mara nyingi amekuwa disappointed na either mumewe or other men. Ni mama wa watoto wawili (au zaidi) na inaelekea ametokea mikoa ya nyanda za juu kusini!

Pretta

Huyu kwa sura ni mweupe, anamtoto mmoja na inaelekea anampenda sana! Bado yeye na mumewe wanafurahia ndoa yao na hawana mikwaruzano ya mara kwa mara! Anapenda mapambo na mara nyingi huiweka nyumba yake hasa kitanda katika hali ya usafi. Anapendelea mashuka ya blue bahari na nyeupe! Ama kwa upande wa nguo za ndani, hapendi sana chupi nyeusi ingawa anazo skinitaiti chache nyeusi!

Lizzy

Inawezekana ni mchaga pengine wa machame! Kama hajasomea engineering basi economic/management courses! Anakipato kikubwa kuliko mumewe na anaamini wakati wote mumewe anaweza kucheat. Anapenda kujipodoa kiasi na mara nyingi kwa kutumia perfume nzuri na za gharama. Anapenda sana kuvaa viatu vya juu na sketi fupi!

Kipipi

Huyu bado hajaolewa, ila anapenda wanaume waliojazia kama wale tunaowaona kwenye american movies! Amesoma cozi inayoweza kumpa kazi ya markerting manager au public relations officer! Wakati mwingine wanaume wamemchanganya maana naye si haba, huwa anaruhusu mmoja mmoja wa pembeni, loh anapenda kawaine kweli hasa red!

Kongosho& BT

Hawa tabia zao zinafanana, wote wameolewa na wana watoto. Wote wameajiriwa na wanamishahara mizuri. Wote wamewahi kutendwa na waume/wapenzi wao. Wote wanadhani wanaume sio waaminifu! Wote wanamiliki magari. lol

Ruta

Huyu mwanaume mwenzangu nisemsemee sana, lakini loh, anapenda kweli mambo yale, haipiti wiki lazima aangushe mtu

GT

Huyu nae kitabia hawatofautiani sana na Ruta, ila huyu anapenda vimodo zaidi. . . . .

Updates

gfsonwin Huyu sasa ni mama wa nyumbani. Kwakweli anajiheshimu sana na anawapenda wanae ingawa

wenyewe wakorofi sana. Sema tatizo lake ni mkali mno yaani watoto wanamwogopa na imefikia wakati mpaka mumewe

anamwogopa!

charminglady Ah yaani wewe unataka kutuambia upo charming? Kweli meno yako na vidimpo vinafurahisha

unapocheka, ila mbona unapenda sana kumnunia jamaa hasa anaposhindwa kukutoa out kutokana na majukumu? Halafu punguza

kuangalia movies upate muda wa kutosha wa mawasiliano mazuri na Mr

Bishanga Si tunamjua tena ndugu yetu huyu kwa kujikubali? Ngoja awe sehemu ya starehe halafu warembo

type ya Lizzy na pretta wasogee, mbona atasafisha wallet? Afu utamsikia kachukua

galaxy lake 'Hivi mbona Vog yangu mnaichelewesha bandarini? Kwani Mercedes yangu tayari mlisha clear'? Loh, ila ni mwaminifu na

anapenda kweli!

Erickb52 Huyu anapenda sana vimodel! Sasa wanashindwana matumizi, si kwamba hana hela ila hataki sana

kutumia kwa hawa wa nje! Anampenda sana bibie ile ndo hivyo macho nayo hayatulii


loh, just thinking, how do u think, please dont take it personal
 
Last edited by a moderator:
He he he he, mmesikia jamani.
Nina mshahara mzuri na gari nnalo, mnaorukia vifodi mtajibeba.


Ila sasa hiyo inakupa mtazamo wa 'kushit any man that tries to play around'. . . its a kind of 'utanifanyanini wewe'

attitude! lol, msinishangae today im kind of happy
 
wewe mganga wa jadi kutoka sumbawanga(joks)niambie kuhusu wife wangu MadameB nionekama kazi ya manyaunyau unaiweza
 
ha ha....umepatia 82%....ulipokosea ni hapo kwenye skintayte.....huwa sivai kabisa coz zinaniwasha.....na hapo kwenye weupe....mimi kwetu hasa ni Sudan ya kusini.....
 
ha ha....umepatia 82%....ulipokosea ni hapo kwenye skintayte.....huwa sivai kabisa coz zinaniwasha.....na hapo kwenye weupe....mimi kwetu hasa ni Sudan ya kusini.....

Daaah napata picha ya kapua kakisomali na urefu wa kisomali kisha kibindankoi hicho haaaaaah, sema PM zinagoma ningekuPM ili mashambulizi yaanze tehe tehe tehe.
 
Sijamsikia WoS siku nyingi kidogo,hivi yupo kweli au tunapishana humu humu kwenye threads.
 
ha ha....umepatia 82%....ulipokosea ni hapo kwenye skintayte.....huwa sivai kabisa coz zinaniwasha.....na hapo kwenye weupe....mimi kwetu hasa ni Sudan ya kusini.....

Sudani ya kusini? U cant be serious! I ve been at Juba 3 times!
 
Erotica japo siyo mnene ila kawowo kajaaliwa kwa mbali! Ila miguu sasa! Lv u Ero! Lizzy na Pretta wanashape kweli
 
mi nataka nijue russian rouserete thijui na erotica bwana mganganjaa
 
Ronn M, kuringa suna, wanamme ukiwaendekeza wanakupasua kifua.Arachuga woyee, nakaa Akeri.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom