Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,598
- 52,298
Anakujua ila anajaribu kukutafakari zaidi!!
Nakupa like kavu kavu mkuu.
Anakujua ila anajaribu kukutafakari zaidi!!
Nakupa like kavu kavu mkuu.
Huwa ninashida na migongo na mapaja!. . . . Sasa nimemkumbuka bibie na wiki end hii
Heri yangu haunijui jina langu.
mgongo una pingili, waupendea nini.....
Updates
gfsonwin Huyu sasa ni mama wa nyumbani. Kwakweli anajiheshimu sana na anawapenda wanae ingawa
wenyewe wakorofi sana. Sema tatizo lake ni mkali mno yaani watoto wanamwogopa na imefikia wakati mpaka mumewe
anamwogopa!
charminglady Ah yaani wewe unataka kutuambia upo charming? Kweli meno yako na vidimpo vinafurahisha
unapocheka, ila mbona unapenda sana kumnunia jamaa hasa anaposhindwa kukutoa out kutokana na majukumu? Halafu punguza
kuangalia movies upate muda wa kutosha wa mawasiliano mazuri na Mr
Bishanga Si tunamjua tena ndugu yetu huyu kwa kujikubali? Ngoja awe sehemu ya starehe halafu warembo
type ya Lizzy na pretta wasogee, mbona atasafisha wallet? Afu utamsikia kachukua
galaxy lake 'Hivi mbona Vog yangu mnaichelewesha bandarini? Kwani Mercedes yangu tayari mlisha clear'? Loh, ila ni mwaminifu na
anapenda kweli!
Erickb52 Huyu anapenda sana vimodel! Sasa wanashindwana matumizi, si kwamba hana hela ila hataki sana
kutumia kwa hawa wa nje! Anampenda sana bibie ile ndo hivyo macho nayo hayatulii
loh, just thinking, how do u think, please dont take it personal