MwanaHALISI: Lowassa ashinikiza uwaziri

Hii tungalie tu tutaona, kama wameamua kuitoa inawezekana wanao ushahidi otherwise ni balaa kutunga kitu kama hii!
 
Mimi sio Shekh Yahaya, lakini mengi yatatokea sana ndani ya kipindi cha mwaka mmoja na
hakika kuna mmojawapo atapoteza maisha.

Kama Pinda ndie aliyekuwa waziri mkuu alishindwa nini kuwasilisha jina lake jana asubuhi? (Kulikuwa na mvutano kati yao)

Baraza la mawaziri litatangwa baada ya siku kadhaa na sasa Chenge na Lowasa wanashinikiza(Je watapewa).

Sita kuenguliwa uspika sherehe ikafanyika Dar na Dom (mafisadi papa).

Kikwete anataka kuacha legacy yake lakini mafisadi hawatamwacha kwani wanataka returns ya hela walizowekeza kwake
Je atawabeba??????

Mazingira haya yote yanaendelea kujenga chuki ndani na nje ya chama, kwa wananchi, je hili nalo litapita hivihivi?????

Tutapata jibu ndani ya mwaka mmoja
 
Who is this Lowassa guy? Yaani ana nguvu gani za kumshinikiza Rais?


IT is the guy who used power of money to put Jk 2005. Again made sure Spika 6 is expelled whateva it took.
HE RUNS THE CCM CC USING HIS POWER OF MONEY.
 
kumbe kuna watu bado wanaamini habari za kubenea. mwanahalisi, uhuru, rai, tanzania daima na habari leo ni magazeti ya kuchakachua habari.

toka kubenea aanze kuandika habari za lowasa ni habari ipi japo imekuwa kweli?

kubenea anamtumia lowasa kuuza magazeti yake wala hana sosi yoyote ya maana ccm. mnaonunua magazeti yake mnaibiwa na kumtajilisha huyo kubinua

Bado una akili za USIKU, Binafsi NIMEKUSAMEHE. Ukiamka futa au edit haya maandishi.
 
EL anataka wizara ya aina yoyote ile ilimradi tu aweze kuwemo katika baraza la mawaziri......Cha kujiuliza ni kwa nini anataka awepo humo????? easy...AFANYE MAAMUZI wa maslahi yake na familia yake target ikiwa 2015...Jamaa anasupport kubwa sana kwa watu ambao ameshawachomeka katika ukuu wa mikoa, wilaya, na wenyeviti wa CCM mikoani na wilayani...Ila kama jamaa atamuweka mtu yeyote mwnye kashfa then CCM itakua inajipalia makaa ya mawe tena RED HOT...........................


NO MORE USWAHIBA HAPA KAZI TU......................Hope JK is sayin this ryt now.................


hapo kwenye red sijajua kama unafaham akili ya jamaa vizuri aisee..dont be surprised...Just stay tuned
 
alikuwepo wakati ana shinikiza apate nafasi ya uwaziri au ni namna ya kuuza gazeti lake ? tena ikiwezekana apewe wizara ya maliasili na utalii.
 
Hivi hawa wanajiamini nini, pesa? Kutuibia watuibie, na kutunyanyasa watunyanyase? Fukn nguchiro hawa.
Hivi tukiamua kuwaondosha mmoja mmoja tunashindwa?
 
kwa nini walilie hizo nafasi kuna ulazima kwa wao kuongoza si wanaongoza majimbo yao basi watilie mkazo huko sio kulazimisha mambo, ikiwa hivyo na January makamba Naye atalazimisha apewe uongozi wa wizara ya habari na michezo.!

makamba=wizara ya sheria, kigwangwala=wizara ya afya.
 


Mbunge wa Monduli, Edward lowassa anadaiwa kumshinikiza Rais Jakaya Kikwete amrejeshe katika Baraza la mawaziri, imefahamika.

Lowassa ameomba kupatiwa nafasi ya kuongoza wizara yta mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa, wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa, au wizara ya tawala za mikoa na serikali za mitaa.

Habari zilizothibitishwa na mmoja wa viongozi wa ngazi za juu katika Chama cha Mapinduzi (CCM) na ambaye yuko karibu na rais Kikwete na Lowassa, zinasema shinikizo la Lowassa limekuwa kubwa kiasi ambacho linamuweka Kikwete njiapanda.

"Lowassa anataka kurewjeshwa katika Baraza la mawaziri. Ameomba apewe nafasi ya kuongoza wizara ya tawala za mikoa na serikali za mitaa, au wizara ya mambo ya nje," ameeleza mtoa taarifa wa MwanaHalisi.

Amesema, "Mheshimiwa Lowassa anasema, iwapo hilo likishindikana, basi ateuliwe kuwa waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa."

Kigogo mwingine ambaye ameomba kurejeshwa katika baraza la mawaziri ni Andrew Chenge ambaye anataka kuwa waziri wa miundombinu.

Chenge ambaye anakabiliwa na lundon la tyuhuma za ufisadi ikiwamo kashfa ya ununuzi wa rada, ameomba kupatiwa uwaziri katika wizara ya miundombinu au sheria na katiba.

Taarifa zinasema Chenge ameshinikiza kuwa iwapo wizara ya miundombinu iutagawanywa kwa kurejeshwa kama ilivcyokuwa zamani, ambapo kulikuwa na wizara ya mawasiliano na uchukuzi, na ile ya ujenzi, basi yeye akabidhiwe wizara yaujenzi……...

…….Mtoa taarifa anamtaja anayeshikia bango Kikwete kumrejesha Lowassa katika Baraza la Mawaziri kuwa ni mfanyabiashara na mbunge wa Igunga, Rostam Aziz.

Rostam amekuwa akitajwa kuwa anajitapa kwamba hatua ya chama hicho kufanikiwa kumuengua Samuel Sitta italeta amani katika chama na kwamba kwa sasa hakuna kizingiti kingine kinachomzuia Lowassa kurejeshwa katika serikali.

Hata hivyo Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka alipoulizwa kama hatua ya kumuondoa Sitta inaweza kurejesha umoja katika chama, haraka alisema, "Vita haijaisha."

Alisema "Ugomvi wetu haukuwa ubinafsi. Ulihusu maslahi ya nchi na watu wake. Kama Rostam, Chenge na Lowassa wanadhaniu vita imekwisha kwa Sitta kutokuwa Spika, basi hawajui kiini cha ugomvi. Hiki ni kicheko cha muda tu."…………………


Habari zaidi katika MwanaHALISI ya leo – Uk. wa 6.

Jamani hivi RA nguvu hiyo ameitoa wapi kiasi cha kumlazimisha jk afanye maamuzi kwa manufaa yake!!!!!!!!! Au ni udaku tu wa MwanaHALISI???
 
Ama kumekucha!! Kama ole sendeka kasema hivyo na jamaa kweli wanaendelea kushinikiza basi maneno ya mwalimu ya upinzani wa kweli utatokea pindi ccm itakapomeguka yatatimia baada ya baraza la mawaziri kutangazwa wiki hii au ijayo!!

Kuna mzungu mmoja mara baada ya uhuru aliwahi tuambia wakati huo (1963) kuwa "hotuba hii ya mwalimu itakuja eleweka kwa watanganyika baada ya miaka 20!!" ilikuwa 1963 malangali na hiyo ilikuwa kati ya hotuba zake kadhaa teacher alizozitoa katika uhai wake.
 


Mbunge wa Monduli, Edward lowassa anadaiwa kumshinikiza Rais Jakaya Kikwete amrejeshe katika Baraza la mawaziri, imefahamika.

Lowassa ameomba kupatiwa nafasi ya kuongoza wizara yta mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa, wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa, au wizara ya tawala za mikoa na serikali za mitaa.

Habari zilizothibitishwa na mmoja wa viongozi wa ngazi za juu katika Chama cha Mapinduzi (CCM) na ambaye yuko karibu na rais Kikwete na Lowassa, zinasema shinikizo la Lowassa limekuwa kubwa kiasi ambacho linamuweka Kikwete njiapanda.

“Lowassa anataka kurewjeshwa katika Baraza la mawaziri. Ameomba apewe nafasi ya kuongoza wizara ya tawala za mikoa na serikali za mitaa, au wizara ya mambo ya nje,” ameeleza mtoa taarifa wa MwanaHalisi.

Amesema, “Mheshimiwa Lowassa anasema, iwapo hilo likishindikana, basi ateuliwe kuwa waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa.”

Kigogo mwingine ambaye ameomba kurejeshwa katika baraza la mawaziri ni Andrew Chenge ambaye anataka kuwa waziri wa miundombinu.

Chenge ambaye anakabiliwa na lundon la tyuhuma za ufisadi ikiwamo kashfa ya ununuzi wa rada, ameomba kupatiwa uwaziri katika wizara ya miundombinu au sheria na katiba.

Taarifa zinasema Chenge ameshinikiza kuwa iwapo wizara ya miundombinu iutagawanywa kwa kurejeshwa kama ilivcyokuwa zamani, ambapo kulikuwa na wizara ya mawasiliano na uchukuzi, na ile ya ujenzi, basi yeye akabidhiwe wizara yaujenzi……...

…….Mtoa taarifa anamtaja anayeshikia bango Kikwete kumrejesha Lowassa katika Baraza la Mawaziri kuwa ni mfanyabiashara na mbunge wa Igunga, Rostam Aziz.

Rostam amekuwa akitajwa kuwa anajitapa kwamba hatua ya chama hicho kufanikiwa kumuengua Samuel Sitta italeta amani katika chama na kwamba kwa sasa hakuna kizingiti kingine kinachomzuia Lowassa kurejeshwa katika serikali.

Hata hivyo Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka alipoulizwa kama hatua ya kumuondoa Sitta inaweza kurejesha umoja katika chama, haraka alisema, “Vita haijaisha.”

Alisema “Ugomvi wetu haukuwa ubinafsi. Ulihusu maslahi ya nchi na watu wake. Kama Rostam, Chenge na Lowassa wanadhaniu vita imekwisha kwa Sitta kutokuwa Spika, basi hawajui kiini cha ugomvi. Hiki ni kicheko cha muda tu.”…………………


Habari zaidi katika MwanaHALISI ya leo – Uk. wa 6.

This is just a kind of blackmail and preemptive measure by Lowassa and co's oponnents (call it 2015 war) to block JK from appointing anyone from Lowassa and co side in the coming cabinet!
 
Kwani amehukumiwa na mahakama ipi? Maana rage m/kiti wangu wa ssc alishakula ndondo za ukonga mpaka ben mkapa alipomchomoa sasa yuko bungeni sasa iweje lowasa asirejee barazani wakati ana sifa zote za kisiasa kumpatia fursa ya baraza?!! Wakuu ktk hili tuache kumpakazia lowasa jamani mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni, lowasa ni mkulima wa kweli apewapo shamba. Uamuzi ni wa jk na siyo shinikizo. Mie nasema hata masha amrejshe tu kwani jk atarejea ya jkn 1970 baada ya mwanza kumtosa bomani, mnakumbuka jf?
 
huyu kawatia doa wamaasai! Doa la ubinafsi na ubabe... Kama n do hulka yake basi hakupaswa kuwa serikalini bali msituni kuchunga ng'ombe!
 
Lowassa!!!!:A S-confused1:
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:
 
Huwa nasema mara nyingi na sioni haya kusema tena na tena!

Guys be careful kuhusu hili gazeti najua mtasema pengine napingana na issue za ufisadi lakini si kweli, ila naangalia ukweli na umuhimu wa hizo habari katika jamii yetu, na hasa hii ya great thinkers, kama walivyowashtua Masanilo na Jenifa, hizi habari siku zote huwa zinaandikwa hivi hivi katika mwanahalisi na Kubenea hafanywi kitu chochote kile

Ukiangalia kwa haraka hara sana hii habari

1. Inampa cerdit au kumsafisha JK kuwa ni mtu safi halafu kuna 'wezi' na wababe wawili wanaitwa EL and RA, kwa namna nyingine habari hii inamfanya JK kuwa innocent na kamwe katika maoni ya wadau hapo juu hakuna anayezungumza negative kuhusu JK! THIS IS KUBENEA ukimwona mwingie fotocopy, hii ni sawa na ile habari ya EL kupitia Ridhwan wanataka kumpindua JK kwa sababu JK anawashughulikia mafisadi! that very saga, ilimpaisha JK mno na JK kuonekana msafi mbele ya watanzania

2. JK,EL,RA is three fold, which is strong, kwa hatua walizofikia hawa watu haijalishi wanapewa uwaziri au la haiwezi kuwazui kufanya lolote nchi hii, wala Lowassa kwa taarifa yenu haitaji kusafishwa na mtu yeyote ili awe rais mwaka 2015, kwa NEC hii, jeshi hili, usalama wa taifa hawa, jury system hii, hii hata Lowaasa aseme afe na agombee urais still atakuwa rais, nyie hangaikeni na campaigns they dela who announces results, RA hana shida na uwaziri wowote, HE IS KING MAKER, HE IS THE ONE TELLS JK do this and dont do that!

3. Hivi habari kama hii, kwa another angle si inamwinyesha wazi JK ni dhaifu mpaka anashinikizwa? very same JK aliyesema Lowassa ni safi?? guys think now c'mmon

letsa come to those old sayings Mwanahalisi ni la JK!!! na Kubenea ni CCM damu!, issue negative juu yake zinapangwa kwa umakini mkubwa sana.

Kama alivyosema Jeniffa gazeti la mwanahalisi akifa tu Lowwsa nalo linakufa!
 
hii ni kuchafuana tu hamna lolote kama ni fisadi si waende mahakamani .
 
Back
Top Bottom