Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Ushabiki wa kisiasa una athari kubwa sana katika mustakhbali wa nchi yetu. Na mara nyingi itatunyima utaifa wetu na badala yake tunabaki tunachumia tumbo na nchi inaisha!
Jamaa katumwa na haraka haraka mpaka kaandika MWAHALISI!
............. ni dalili ........
Pamoja na kujitutumua safari hii ............ kudanganyia wasomaji .................... Kubenea bado anaonesha ...................... inasemekana ..................
Kilichonilazimu nijitose hapa JF ni tamko la MwanaHalisi kuwa litakuja wiki ijayo ....................... Mimi na wenzangu tuishio Temeke pamoja na Mbunge wetu.................................
Bwana Dickson A. Mg'hily ................................... kama Mchungaji (sampuli ya akina Mtikila). ......................... kwa tikiti ya CHADEMA, .......................................... kwa sababu huyu jamaa ni TAPELI! Anajiita Mchungaji, lakini ukimpenyezea rupia tu yuko radhi kufunga ndoa na shetani. ..................... kwa kuwa namfahamu sana msanii huyu.
Mada imemlenga Dickson A. Mg'hily , tunasubiri majibu yake
Mkuu Ndachuwa, hii kitu sikuwahi kuiona kbisa...Leo ndo niliamua kusearch nyuzi zenye kunihusu ndo nikaona, kiukweli nimecheka sasa....Hahahahahaha...Nadhani nitumie tu busara ya kutojibu maana hata mtoa uzi mwenyewe simfahamu na ningekuwa nimehongwa ili kusema uongo bila shaka hao niliowataja kuwa nyuma ya CCJ na Mpendazoe akaenda mbele zaidi kwa kuandika kitabu na kuwataja humo si wangetushtaki kwa kuwazushia kumbuka kuwa Sitta na Mwakyembe ni wanasheria na wanazifahamu vizuri sheria! Nway, ngoja tu nipuuzie nadhani mwandishi ana lake jambo hasa ukisoma btwn lines...Ila hata hivyonimeceka sana.......