Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

jaman kunaswal la hesabu hapa limenishnda naomben msaada" ( 1/4robo ya ng'ombe wa mzee yagayaga wamekufa,,1/5 ya ng'ombe waliobak n wagonjwa,,..ng'ombe 180 n wazima!!! je! mzee anang'ombe wangap???
Ngombe wote jumla waite Y. Sasa 0.2 ya Y wanaumwa ila wapo. Jumlisha na 180 wasioumwa jumla yao ni Y. Tafuta thamani ya Y hapo:
0.2Y + 180 = Y
0.2Y - Y = 0 - 180
-0.8Y = -180
0.8Y/0.8 = 180/0.8 = 90/0.4 = 45/0.2 =22.5/0.1
= (22.5x10)/(0.1×10) = 225/1 = 225 cows
Achana na ile 1/4 ya Ngombe kwani hao mzee yagayaga hana walishakufa.
Mzee yagayaga Ana jumla ya Ngombe 225 wanaoishi. Kati ya hao wasioumwa ni 180 na wanaumwa ni 225 - 180 = 45

Acha uvivu.
 
waliokufa + wagonjwa + wazima = jumla ya ng'ombe

waliokufa/jumla + wagonjwa/jumla + wazima/jumla = jumla/jumla

1/4 + 1/5 + 180/jumla = 1

180/jumla = 1 - 1/4 - 1/5

180/jumla = 20/20 - 5/20 - 4/20

180/jumla = (20 - 5 - 4)/20

180/jumla = 11/20

180*20 = 11*jumla

180*20/11 = jumla

jumla = 327.27272 (327+3/11) cows

Mzee Yagayaga alikuwa na ng'ombe 327+3/11 (327.2727)

Lakini robo (81+9/11) walikufa, kwa hiyo amebaki na ng'ombe 245+5/11 (245.4545)
Kaka na wewe umekosa. Kwanza ukiona umepata jibu na decimals hapo jiulize tena. Ila acheni uvivu was kufikiri. Sometimes hesabu inataka reasoning tu. Ngombe waliokwishakufa utawawekaje kwenye kukokotoa Ngombe alionao?

Do away with that 1/4 fraction. It does not exist. Angalia nimewapa jibu sahihi hapo kwenye jibu langu kwa muuliza swali
 
They were climbing a tree.
Kauliza katika past tense au past continous tense? Nadhani muulizaji kakosea labda. Umemjibu katika past continous tense na sio past tense aliyoitaka yeye. Should have been "they climbed a tree". Kama alivotaka yeye
 
String A is 2m long and has a linear mass density of 9g/cm3. String B has a linear mass density of 18g/cm3. If the tension in both strings is the same, how long must string B be for it to be at resonance with string A?
Inawezekana umeshajibiwa ila nimejaribu kukokotoa pia
20160223_235845.jpg
 
Kuna wengi wanapita humu hivo majibu yanayo tolewa yawe yamehakikiwa kuondoa upotoshaji. Km uwiano wa ujazo na uzito si sawa kwa vitu vyote. Kuna density mass mbali kwa ulinganifu kupata jibu sahihi.
 
Hivi ukiwa umelipia ada ya chuo kikuu mapema halafu ukapata bahati ya mkopo wa elimu ya juu, je ile ada nitarudishiwa?
 
Habari..kwa wakubwa shkamooni..ni hv mie mgeni humu ndyo nimeingia jana tu..ila nimependa group hli cos mm ni mwanafunzi so wakuu nikaribisheni humu..na nitakuwa nauliza maswali ila msinichoke..Ahsanteni
KRB WLM 2PO WAKUJITOLEA TUTALIPWA MBINGUNI AMA DUNIANI IKIWEZEKANA
 
Ngombe wote jumla waite Y. Sasa 0.2 ya Y wanaumwa ila wapo. Jumlisha na 180 wasioumwa jumla yao ni Y. Tafuta thamani ya Y hapo:
0.2Y + 180 = Y
0.2Y - Y = 0 - 180
-0.8Y = -180
0.8Y/0.8 = 180/0.8 = 90/0.4 = 45/0.2 =22.5/0.1
= (22.5x10)/(0.1×10) = 225/1 = 225 cows
Achana na ile 1/4 ya Ngombe kwani hao mzee yagayaga hana walishakufa.
Mzee yagayaga Ana jumla ya Ngombe 225 wanaoishi. Kati ya hao wasioumwa ni 180 na wanaumwa ni 225 - 180 = 45

Acha uvivu.


Kwasababu sehemu zimetumika tuseme ng'ombe wote ukijumlisha na wale waliokufa ni kitu kizima ambayo ni 1.

1/4 ya ng'ombe wote walikufa
1-1/4=3/4 (waliobaki)

1/5 ya waliobaki wanaumwa
1/5 x 3/4 = 3/20...... Lakini bado tunatakiwa tupate sehemu ya wale ng'ombe walio wazima

3/4 - 3/20 = 3/5

3/5 = ng'ombe 180
5/5= ng'ombe?
=ng'ombe 300
Sasa tupate idadi ya 1/4 waliokufa
1/4 x 300= ng'ombe 75
300 - 75 = 225

Mzee Yagayaga ana ng'ombe 225........... Kama nimekosea tena nijulishe
 
Back
Top Bottom