Kitowelo J
Member
- May 12, 2013
- 47
- 12
nahtaji notice nzur na bora za kueleweka za survey na research msaada plze
Why haemophilic females are rare in nature?
jaman kunaswal la hesabu hapa limenishnda naomben msaada" ( 1/4robo ya ng'ombe wa mzee yagayaga wamekufa,,1/5 ya ng'ombe waliobak n wagonjwa,,..ng'ombe 180 n wazima!!! je! mzee anang'ombe wangap???
what is gravitational force
anaeweza anisaidie utofauti kati ya phrasal verbs and preposional verbs...asante
Hii ni kwa pure water tu. Msingi wa jibu hili upo kwenye density(tungamo)ya kitu husika1gram=1cm cubic
1000gram=1000cm cubic(1 litre).
NOTE:
1000gram=1 Kilogram
Swali langu n kwamba nipo mwaka wa Kwanzaa Kampala international university. Nasoma Bba in accountingWakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo
Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.
karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.
Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo
Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.
karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.
Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo
Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.
karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.
Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Wakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo
Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.
karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.
Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
jaman kunaswal la hesabu hapa limenishnda naomben msaada" ( 1/4robo ya ng'ombe wa mzee yagayaga wamekufa,,1/5 ya ng'ombe waliobak n wagonjwa,,..ng'ombe 180 n wazima!!! je! mzee anang'ombe wangap???
waliokufa + wagonjwa + wazima = jumla ya ng'ombe
waliokufa/jumla + wagonjwa/jumla + wazima/jumla = jumla/jumla
1/4 + 1/5 + 180/jumla = 1
180/jumla = 1 - 1/4 - 1/5
180/jumla = 20/20 - 5/20 - 4/20
180/jumla = (20 - 5 - 4)/20
180/jumla = 11/20
180*20 = 11*jumla
180*20/11 = jumla
jumla = 327.27272 (327+3/11) cows
Mzee Yagayaga alikuwa na ng'ombe 327+3/11 (327.2727)
Lakini robo (81+9/11) walikufa, kwa hiyo amebaki na ng'ombe 245+5/11 (245.4545)
Mwulize aliyetunga swali. Labda mzee Yagayaga alinunua angalau ng'ombe mmoja pamoja na watu wengine.Sasa hawa ng'ombe wenye desimali wanakuwaje labda?
Mwulize aliyetunga swali. Labda mzee Yagayaga alinunua angalau ng'ombe mmoja pamoja na watu wengine.
Kuhama chuo kwa sasa ni ngumu sana ndugu yangu, isitoshe ndio mnaelekea kumaliza semesterNaomba ushaur namna gan naweza kuhama chuo
Nilifanya Wrong choice nikaomba Kampala international university
Hapa walimu wake hawana uwezo kabisa wa kujua na kufundisha
Ticha anafundisha Balance sheet ina Debit na Credit ona hapo chin attachment
Hivyo nataka kuhama kwenda chuo kingine
Nipo first year anajiua procedures anisadie
Kwanini ukichukua kopo mfano kopo la dasani tupu ukaanza kuvuta hewa (kwa mdomo) iliyomo ndani ya kopo hilo kopo hujikunja...?Wakuu naona kuna haja ya walimu kujipambanua ili wanafunzi/wenye maswali watupie kwa walimu husika. Mimi najipambanua kama mwalimu wa Chemistry, Biology & Geography kwa O~level. Tupia swali lolote la masomo haya upewe majawabu haraka. Usisahau kuQUOTE au kuMENTION jina la mwalimu ili mwalimu apate notification. Asante sana.
unapovuta hewa unapunguza PRESSURE ndani ya kopo kwa hiyo PRESSURE ndani ya kopo itakuwa ndogo kuliko ATMOSPHERIC PRESSURE (nje ya kopo). na pressure = force/area. forces za nje zitakuwa kubwa kuliko forces za ndani na zitasababisha kopo ikunje.Kwanini ukichukua kopo mfano kopo la dasani tupu ukaanza kuvuta hewa (kwa mdomo) iliyomo ndani ya kopo hilo kopo hujikunja...?
na je vipi kwa mfano ukitengeneza chumba cha chuma na kuacha tundu dogo la kuwekea kivuta hewa na kuanza kuvuta hewa, je hicho chumba cha chuma kitajikunja kama lilivyo jikunja kopo...?unapovuta hewa unapunguza PRESSURE ndani ya kopo kwa hiyo PRESSURE ndani ya kopo itakuwa ndogo kuliko ATMOSPHERIC PRESSURE (nje ya kopo). na pressure = force/area. forces za nje zitakuwa kubwa kuliko forces za ndani na zitasababisha kopo ikunje.
inategemea. unaweza kutengeneza chumba cha chuma imara ambacho hakitakunja. lakini kama chuma ni chembamba, kitakunja pia.na je vipi kwa mfano ukitengeneza chumba cha chuma na kuacha tundu dogo la kuwekea kivuta hewa na kuanza kuvuta hewa, je hicho chumba cha chuma kitajikunja kama lilivyo jikunja kopo...?