Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,074
Mwana CCM huyu ameng’aka kabisa kuwa nimakosa makubwa Serikali kuruhusu hawa comedian(wachekeshaji) kuongelea suala la bandari
Anasema hawa wengi ndio wanasababisha mjadala kuwa mgumu na kuonekana na upotoshaji kwakuwa hawajui vitu muhimu vya kuongelea
Ameiomba serikali kuto ruhusu kila mtu kuwa msemaji wa swala la bandari kwani wengi wanaonekana wanapotosha hasa wachekeshaji wa Habari kama Wakina Kitenge ,hando na Steve Nyerere
Anasema hawa sio waandishi wa kureport swala la bandari bali ni wachekeshaji anasema kuna waandishi serious wanaweza kutumika ka Msemaji wa Ikulu na wengine lakini sio hawa wachekeshaji!
Anasema hawa wengi ndio wanasababisha mjadala kuwa mgumu na kuonekana na upotoshaji kwakuwa hawajui vitu muhimu vya kuongelea
Ameiomba serikali kuto ruhusu kila mtu kuwa msemaji wa swala la bandari kwani wengi wanaonekana wanapotosha hasa wachekeshaji wa Habari kama Wakina Kitenge ,hando na Steve Nyerere
Anasema hawa sio waandishi wa kureport swala la bandari bali ni wachekeshaji anasema kuna waandishi serious wanaweza kutumika ka Msemaji wa Ikulu na wengine lakini sio hawa wachekeshaji!