Huyu c alipinga mama magufuli kutubiwa muhimbili alitaka aende ulayaMshana Jr
Rekebisha kabla Bi Mkora hajatimba hizi pande.Bora Kabisa Ni
Jamiiforums Home Of Greater Think
Ungejipangaje kiongozi......??Sasa si mngetangaza mapema kuwa mwaka huu kina program za kutafuta Mwana JF bora ili tujipange??.
mmmmnnhhh!!!!1. Monica
2. Miss natafuta
Mkuu typing error au kusudikama kuna boro basi wa hovyo yupo
mi nasubiri wa hovyo
not neccessary cz humu ndan kuna majukwaa mengi sana na mengne hayahtaj hayo uliyoandika hapoili mtu awe bora lazima awe amefanya yafuatayo:
1. ametoa fursa za ujasiria mali hapa jf
2. ametoa misimamo ya namna ya kujikomboa kutoka kwenye umaskini hadi utajiri
3. mada zake zina ukombozi na zina uzalendo kwa mtanzania
4. ameimiza sana vijana kupiga kazi na kujikomboa na umaskini
5. hana itikadi za chama chochote cha siasa,yeye ni mshauri tu wa jambo lolote
MWISHO: MWENYE HIZO SIFA HUMU NDO ATAKUWA GREAT THINKER BORA
mbona waguna mkuu?mmmmnnhhh!!!!
NamsubiliNgoja nimtaje wangu
wana majanga hao watu.....mbona waguna mkuu?
Le MutuzTumfahamu Mwana JF bora Mwaka huu 2016. hapa ni overall, the whole of JF.
Taja jina, mwenye nyingi Mshindi.
Unaruhusiwa jitaja.
Ahsanteni.