Mwamko wa Mabadiliko Misri na Hatima ya Hosni Mubarak

Thubutu. Eti mumng'oe JK. Thubutu, mtayaona ya Somalia hivi karibuni tu. Nyie maG hamtatawala katu kama mnampango wakumhujumu JK. Hata kwenye hizo nyumba zenu za ibada mnazokutania hamtafika tena huko kwani patakuwa hapatoshi. sisi tuishajichokea siku nyingi sana kwa hiyo hapa tunasubiria kisababu tu ili tulianzishe. Natamani mngelianzisha hata leo.

Ninakubaliana na wewe kwa sababu moja ni kweli JK amefanikiwa kuigawa nchi kwa dhana ya udini.Hilo kafanikiwa kwa maana hiyo move yoyote kuikataa serikali ya JK waislam watakuwa upande wa JK kwa kudhani kuwa waislamu wanaonewa.Ndiyo maana nasisitiza kuwa ndugu zetu waislama wamenasa kwenye mtego wa JK bila kujijua wamehubiriwa kuwa wakristu wako juu, wakati si kweli, utamaduni wa watanzania kup[endana bila kubaguana kidini umemalizwa na JK.
JK kaandika historia ya aina yake.Ndugu zetu waislam tufikiria mara mbili na tujitambue kwa mustakabari wa nchi.
 
Bado Tanzania.........

Jamani TZ tulianzishe. Hawa watawala wameshatuona mabwege. Hawawezi kufanya mambo ambayo hata raia wa kawaida kabisa anaona sistahili kwa mgongo wa kuheshimu utawala wa sheria. Nadhani wanajifunza kutokana na nchi nyingine.
People's power! Go Dr. Slaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

Watanzania tukiamua inawezekana.
 
If they succeed in Egypt, the movement will be heading to the south. Sudan will be next baada tu ya uhuru wa South Sudan in June, who knows may be Uganda and ..........
Uganda pamekaa vibaya sana.
Huu mchezo anaofanya Museveni kuchukua viongozi wa Kenya kumsaidia Kampeni sijui kama utakua na mwisho mzuri.
Panaweza tokea vita maana Museveni hapendwi na wananchi wake lakini anatumia nguvu na jeuri ya hela.
Tangu mafuta yagundulike Museveni anamwandaa mtoto wake kuchukua madaraka.--> This is african politics at its best.
 
Fuatilieni habari kwenye tv za kimataifa, polisi wamezidiwa huko Misri. Idadi ya wanaomiminika mitaani inazidi kuongezeka. It is probably impossible to contain the situation at this point, and may be Hosni Mubarak will have to pack and go.

Baada ya sanduku la kura kushindwa kuondoa utawala mbovu madarakani, nguvu ya umma inaonekana ndiyo suluhisho la uhakika. Tunasubiri nini watanzania?



Maelfu walijiunga na maandamano hayo baada ya kampeni zilizoendeshwa kupitia tovuti ambayo ilihamasishwa na harakati za nchini Tunisia.

Waliandamana katika mitaa ya Cairo na maeneo mengine wakipiga makelele ya kuipinga serikali, baada ya wanaharakati kuitisha siku ya mapambano katika ujumbe uliowekwa katika tovuti.

Si kawaida kufanyika maandamano ya kuipinga serikali nchini Misri ambako Rais Hosni Mubarak amekua akitawala tangu mwaka 1981 bila kuvumilia upinzani .

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton, alisema serikali yake inaunga mkono haki za kimsingi za watu kukusanyika na kutoa maoni yao na kuhimiza pande zote kuonyesha uvumilivu.

Aliongeza kwamba Marekani inaamini serikali ya Misri ni tulivu na inatafuta njia za kutimiza matakwa halali ya wananchi wa Misri. .

Matukio haya ya mjini Cairo yalipangwa katika kurasa za Facebook - maelfu ya waandamanaji walijiunga na kurasa hizo wakisema wangeshiriki

ehehehehehe
 
mambo ya Tunisia na Misri

attachment.php



attachment.php



attachment.php



attachment.php



attachment.php



attachment.php



attachment.php
 

Attachments

  • egypt 2.jpg
    egypt 2.jpg
    24.7 KB · Views: 99
  • Tunisia 3.jpg
    Tunisia 3.jpg
    18.7 KB · Views: 100
  • Tunisia 1.jpg
    Tunisia 1.jpg
    92.6 KB · Views: 104
  • egypt 3.jpg
    egypt 3.jpg
    26.3 KB · Views: 99
  • Cairo demonstration.jpg
    Cairo demonstration.jpg
    41.4 KB · Views: 97
  • Tunisia revolution city.jpg
    Tunisia revolution city.jpg
    31.6 KB · Views: 96
  • Tunisia 2.jpg
    Tunisia 2.jpg
    46.9 KB · Views: 100
HAIJAWAHI/HAITAWAHI KUTOKEA STATE IKASHINDA NGUVU YA UMMA.
Historia imedhihirisha hivyo.
JK na wenzako someni alama hizo msije mkaingia majaribuni.
 
One very interesting thing with western world: They check the climate inside the country. For Tz the climate inside is good, cool. friendly even to allow a loser of 27% to rule them in the place of a winner of 61%. Sisi tumelogwa!!!!!!!!!!!! Sahau their support when masses are silent!!!!!!!!!!!!!!!:roll:
 
Nadhani zile enzi za tawala dhalimu za kiafrika zisizosikia kilio cha wapigakura ndo zinafikia mwisho sasa! Mwenye macho haambiwi tazama
 
Siku zao zinahesabika,Kwa mwenendo wanaokwenda nao wa wizi na unyang'anyi uliokubuhu,dharau kwa wananchi,na jinsi wanavyotuburuta,uzandiki na uroho wao wameshajichimbia kaburi bado kitambo kidogo tuu amini usiamini
 
Fuatilieni habari kwenye tv za kimataifa, polisi wamezidiwa huko Misri. Idadi ya wanaomiminika mitaani inazidi kuongezeka. It is probably impossible to contain the situation at this point, and may be Hosni Mubarak will have to pack and go.

Baada ya sanduku la kura kushindwa kuondoa utawala mbovu madarakani, nguvu ya umma inaonekana ndiyo suluhisho la uhakika. Tunasubiri nini watanzania?


It is only and only peoples Power can work in Africa.JK jiandae.
 
Huko aliko nadhani anapata tumbo la kuharisha anaposikia ya Misri.

Hivi kama tukimtoa JK, tumuweke nani?[/QUOTE]

mniweke mimi ili niwarudishie migodi yote na kujenga kinu cha nyuklia kwa ajili ya kuzalisha na kuuza umeme, ila mniruhusu niwashughulikie mafisadi in my own way.
 
kwa nini hizo western countries marafiki zake wasimsaidie? Jana Hillary Clinton alisema Hosni Mubarak anatakiwa asikilize sauti ya UMMA!!!!!

westerners especially americans and canadians ni wabaya, wanafiki sana hata hapa tz sehemu zao za kazi wakikuajiri uwe makini sana. Wakisha kutumia, kosa dogo tu linaweza kukufukuzisha kazi without notice.

Mubaraka na vibaraka wao akina jk ni vipofu tu waliopumbazika na kupanda ndege ku-cross atlantic ocean kila mara. Americans dont make permanent friends.
 
Soma alama za Nyakati Mubarak usisubiri mpaka hali iwe mbaya. Bora akusanye kilicho chake aishie
 
Huko aliko nadhani anapata tumbo la kuharisha anaposikia ya Misri.

Hivi kama tukimtoa JK, tumuweke nani?[/QUOTE]

mniweke mimi ili niwarudishie migodi yote na kujenga kinu cha nyuklia kwa ajili ya kuzalisha na kuuza umeme, ila mniruhusu niwashughulikie mafisadi in my own way.

Mkuu Utingo, Bandika siivi yako hapa mkuu, lakini usiwe una u-Dr.
 
Back
Top Bottom