Mwamko wa Mabadiliko Misri na Hatima ya Hosni Mubarak

Serikali ya Kikwete yenyewe hadi sasa yapumulia mashine, ni kwamba tu wengi hamjatambua ukweli huo. Kwaulize nisiders upate picha halisi.

Mimi kila nikimuona JK machoni ni kama keshajichokea, na yeye anachoka kusubiri nguvu ya umma. Pengine hata kukauka kwa hazina ni maandalizi yake ya maisha yake uhamishoni. Anakwenda Davos ili awaachie mfanye nguvu ya umma lakini nyie bado mnafanya rongorongo
 
Egypt: President's Son & Family 'Have Fled To The UK'

pixel.gif

Gamal Mubarak, Egyptian president Hosni Mubarak's son who is widely tipped as his successor, has fled to London with his family, Arabic website Akhbar al-Arab said on Tuesday.


Gamal Mubarak, Egyptian president Hosni Mubarak's son who is widely tipped as his successor, has fled to London with his family, Arabic website Akhbar al-Arab said on Tuesday. The report came as violent unrest broke out in Cairo and other Egyptian cities and hundreds of thousands of people reportedly took to the streets in a Tunisia-inspired day of revolt.

Officials did not immediately confirm the report that Gamal Mubarak has fled to the British capital with his wife and daughter aboard a private jet.

The jet with Mubarak, his family and 97 pieces of luggage on board left for London on Tuesday from an airport in western Cairo, according to the US-based Akhbar al-Arab.

Weeks of unrest in Tunisia eventually toppled president Zine al-Abidine Ben Ali earlier this month. The anti-government protests in Egypt broke out after opposition groups waged an internet campaign inspired by the Tunisian uprising.

An anti-riot police officer was killed in clashes on Tuesday in central Cairo, Egyptian daily 'al-Wafd' reported. Egyptian security forces reported used tear gas, fire hoses, and clubs to disperse protesters in Tahrir Square, downtown Cairo.

Over 30,000 anti-government protesters had gathered. in Cairo's Maidan al-Tahrir square to take part in the 'day of anger', the spokesman for Egypt's '6 April' opposition movement, Mohammed Adel, told Adnkronos International (AKI) in an interview.

"Police used tear gas and water canon to break up our protest and they arrested 40 of us, but we don't have official figures on the numbers of arrests across Egypt," said Adel.

Supporters of the '6 April' movement, the opposition al-Ghad party, the outlawed Muslim Brotherhood, the al-Wafd party and supporters of former UN nuclear watchdog chief Mohammed El Baradei took part in the protest.

The protesters want Egypt to end its 30-year state of emergency and pass a law preventing a president from serving more than two terms, and want the interior minister Habib al-Adly, to resign.

Al-Wafd daily said police arrested 600 people during Tuesday's protests in Cairo, Alexandria, Port Said, Tantan, al-Mahala, Asiut, al-Bahira and al-Quium.

Between 200,000 and 300,000 people took part in protests in these cities on Tuesday, according to the Rasad al-Ikhbari observatory, which is staffed by journalists and opposition activists.

Police set dogs on protesters in Port Said and charged protesters in Suez and al-Mahala, an unnamed activist from Rasad al-Ikhbari told AKI.

Protests are rare in Egypt, where Mubarak tolerates little dissent.

US secretary of state Hillary Clinton said on Tuesday Washington believed the Egyptian government was stable and urged restraint on both sides.


adnkronos | Middle East
 
America na Israel nazo roho juu juu kibaraka wao Hosn Mubarak hali mbaya, America inatoa misaada mingi sana kwa Egypt mwaka 2004 wakati rais Bush walifanya mkataba wa kijeshi na Mubarak kila mwaka Serikali ya Egypt inapata $1.3 billion, jumla ya misaada kwa mwaka inafika $50.billion. America inatoa pesa zote hizo ili Israel wakae kwa aman.
 
Akitoka KJ mniweke Mie Dr. Mpasuajipu as a new president:clap2::coffee::laugh::A S 20::roll::twitch::popcorn::sick::A S thumbs_down:
 
Akitoka KJ mniweke Mie Dr. Mpasuajipu as a new president:clap2::coffee::laugh::A S 20::roll::twitch::popcorn::sick::A S thumbs_down:

Mkuu ningependa kukuarifu kwamba maombi yako hayatafikiriwa kwa sababu hatutaki tena Dr. Yeyote akae ikulu. Kwani huyu aliyepo amefanya vibaya kuliko wale ambao hawakuwa Dr.

Tehereheheheee
 
Fuatilieni habari kwenye tv za kimataifa, polisi wamezidiwa huko Misri. Idadi ya wanaomiminika mitaani inazidi kuongezeka. It is probably impossible to contain the situation at this point, and may be Hosni Mubarak will have to pack and go.

Baada ya sanduku la kura kushindwa kuondoa utawala mbovu madarakani, nguvu ya umma inaonekana ndiyo suluhisho la uhakika. Tunasubiri nini watanzania?

Tunasubiri ujilipue na petroli kisha ufe ndipo tuanze mapinduzi kama ya wenzetu Misri, Tunisia nk. wao walianza na kujilipua kwanza ndipo harakati zikafuata! unangoja nini?
 
Thubutu. Eti mumng'oe JK. Thubutu, mtayaona ya Somalia hivi karibuni tu. Nyie maG hamtatawala katu kama mnampango wakumhujumu JK. Hata kwenye hizo nyumba zenu za ibada mnazokutania hamtafika tena huko kwani patakuwa hapatoshi. sisi tuishajichokea siku nyingi sana kwa hiyo hapa tunasubiria kisababu tu ili tulianzishe. Natamani mngelianzisha hata leo.
 
I love the sarcasm in Hillary Clinton "the Egyptian government has an important opportunity . . . to respond to the legitimate needs...."
Lol..mtu anataka kung'olewa ofisini yeye anasema important opportunity duh! The cheek!!
 
Egypt: Facebook and Twitter have helped drive this week's protests. But by Thursday evening, those sites were disrupted, along with cell phone text messaging and BlackBerry Messenger services. Then the Internet went down.
 
Eqypt could be another Tunisia and find Mubarak is toppled to make another history north africa
 
It is just a matter of time before the fall of Egypt's dictator
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom