Babu Lao
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,043
- 179
Acha utani!Mrema!
Acha utani!Mrema!
As a result people were knocking doors to doors to encourage people to protest. So, this revolution will not be tweeted?
Fuatilieni habari kwenye tv za kimataifa, polisi wamezidiwa huko Misri. Idadi ya wanaomiminika mitaani inazidi kuongezeka. It is probably impossible to contain the situation at this point, and may be Hosni Mubarak will have to pack and go.
Baada ya sanduku la kura kushindwa kuondoa utawala mbovu madarakani, nguvu ya umma inaonekana ndiyo suluhisho la uhakika. Tunasubiri nini watanzania?
kaka Derimto inauma sana lakini everything begins with you. Mimi niko tayari kuandamana mpaka mwisho. Kuna mambo nimeelezwa magumu kuamini lakini ni kweli tupu. Kiufupi nimepata roho ngumu sana na niko tayari kwa lolote.
Vibaraka wengine tunao humuhumu ndani!!Hosni Mubarak ni kibaraka wa western countries kwa muda mrefu sana anatumiwa kuwagandamiza wapalestina kwa kujifanya mediator.
Fuatilieni habari kwenye tv za kimataifa, polisi wamezidiwa huko Misri. Idadi ya wanaomiminika mitaani inazidi kuongezeka. It is probably impossible to contain the situation at this point, and may be Hosni Mubarak will have to pack and go.
Baada ya sanduku la kura kushindwa kuondoa utawala mbovu madarakani, nguvu ya umma inaonekana ndiyo suluhisho la uhakika. Tunasubiri nini watanzania?
Opposition leader and former UN nuclear watchdog chief Mohamed ElBaradei prayed with thousands on Friday [AFP]
Protests have erupted in cities across Egypt following Friday midday prayers, with angry demonstrators demanding an end to Hosni Mubarak's 30-year presidency. Tens of thousands of protesters have taken to the streets across the country, witnesses have said.
Al Jazeera's Rawya Rageh, reporting from the Mediterranean port city of Alexandria, said protesters streamed out of mosques shortly after prayers to chant slogans against Mubarak. Police responded immediately, firing tear gas to disperse the crowd.
Alexandria is a stronghold of the Muslim Brotherhood, Egypt's technically banned but largest political opposition group, but Rageh said the crowds in the city predominantly consisted of "ordinary citizens".
"This is the same mosque where protests were held against police brutality in June after a 20-year-old man was beaten to death by police," she said. "It's very symbolic that the current protests are taking place at the same place all over again."
Protests were also reported in Suez, a port on the Red Sea east of Cairo, and in the Nile Delta cities of Mansoura and Sharqiya, witnesses said.
Clashes between protesters and police erupted outside a mosque in Cairo. Protesters reportedly threw stones and dirt at the police after security forces confronted them. They held up posters saying "No to dictatorship" and stamped on posters of Mubarak.
Friday marked the fourth consecutive day of protests in the Middle East's most populous nation coming on the heels of a social uprising in nearby Tunisia that ousted that country's president of 23 years.
Mohamed ElBaradei, the former head of the United Nations' nuclear watchdog and an opposition leader in Egypt, returned to the country on Thursday night after telling reporters he was ready to lead a "transition" if asked. On Friday, he prayed with thousands of worshippers at a mosque in Cairo and had reportedly been prevented from moving freely by security forces.
The countrywide violence has so far left seven people dead.
In response, the government has promised to crack down on demonstrations and arrest those participating in them. It has blocked internet, mobile phone and SMS services in order to disrupt the planned demonstrations.
Mwan JF mwenzangua hata wamwege hiyo sumu kiasi gani.... mwisho wa siku maisha yanatugonga wote, na wizi wa mali ya uuma unatuumiza wote.... na hiki ndicho kinachopelekea 'uprising' ya umma. Na nina uhakika hata hao wanaopigia makelele udini by the end of this year hawatokuwa na nguvu tena..... huwezi kukaa siku nzima unapiga kelele za udini wakati kwako huna chakula na wala hujui utakula nini, wakati unaemtetea anakupita na gari kafunga vioo... na kila baada ya wiki anaenda kupumzika serengeti!!!!Hayo ulioelezwa ukayaona magumu kuyaamini yaweke hapa jamvini ili wenye habari wapate kuyadhibitisha,hakuna sababu ya kubakia nayo moyoni.Ufisadi unaoendelea Tanzania ni wa hali ya juu,kwa hali ilivyo tulipaswa hata tuwatangulie Tunisia kuleta mageuzi.Timing is very crucial in every thing.Time for change is now.Tukiwapa muda mafisadi watajipanga na kuendelea kutugawa kupitia sumu ya udini ambayo wameimwaga sasa.Hakika wakati wa ukombozi wa Tanzania umewadia na wakati huo ni sasa.
Welcome back!mhhh kwelikazi ipo mwaka huu....wa kwetu huyu ikifika level hiyo si anaweza kuanguka tena