Waziri anatembelea jimbo kukagua miradi ya maendeleo - unakuja mijitu inapiga kijani sasa unashindwa kuelewa au kutofautisha ziara ya kiserikali. Yaani kuchumia matumbo ni utumwa mkubwa, aisee bora nife maskini kuliko kuwa namna hii.
Mbaya zaidi wakati waziri anatoa pongezi kwa wananchi kwa michango yao ya maendelea - jamaa wanaibuka CCM, CCM yaani inakuwa as if pilau unalikoroga na mlenda.
Mbaya zaidi wakati waziri anatoa pongezi kwa wananchi kwa michango yao ya maendelea - jamaa wanaibuka CCM, CCM yaani inakuwa as if pilau unalikoroga na mlenda.