Nimekutana na hii kwenye makitaba yangu!
Nimekutana na hii kwenye makitaba yangu!
hii pic imechakachuliwa
Mambo ya kuvaa sare za kijani yanaendana na kuibuka kwa "ujasiriamali" wa kwenda china kununua kofia na mashati ya kuwavisha wajumbe hasa wa mikutano mikubwa Kama mkutano mkuu. Hizi Dili zilinoga sana wakati wa Mkapa. Wakati wa uchaguzi wa 2010 ilikua zamu ya Ridhiwani and the company kupiga Hilo dili kama sijakosea.Marehemu mwalimu Nyerere alishasoma alama za nyakati kwakutokuvaa hizo jezi alishajua wanaovaa wote ni wezi na wanafki! nimejaribu kuingia kwenye maktaba yangu nimetafuta picha za mwalimu hata zile tokea chama cha ccm kinazaliwa sijaona picha aliyovaa hizo nguo zenye rangi ya kijani. lakini bado sipingi hoja hii kama kuna mwenye hizo picha alete tu lakini itakua ilikua anavaa kwa machale sana.
Maguo ya kijani na njano yanaashiria wizi na unyonyaji so yanatakiwa yachomwe yote ili tuishi maisha bora.
Nimekutana na hii kwenye makitaba yangu!
Wewe ni Nunda sana!
siku moja nilimsikia Mbowe akihutubia huko chato na alisema'nguo za kijani na njano zinaharibu ubongo ndo maana mwalimu hakuzivaa' nilizani utani..kumbe hakuvaa kweli..
Hahahaha! Boto wa Rais? Umemaanisha nini mkuu.